kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Natupa memory zangu nyuma i think ni 2008 kuna mwandishi mmoja anakwenda kwa jina la Rosemary Mwakitangwe aliwahi kuandika makala kwenye the number one newspaper in Tanzania almaarufu kama Raia Mwema akihoji mantiki ya wanahabari kujitosa kwenye siasa.
Sasa hapa jamvini kuna waandishi wengi Mwanakijiji na wenzake naomba mtweleze hivi baadhi yenu kama Nkamia mnapojitosa kwenye siasa mna maana gani? mnaenda kuharakisha ukombozi au kujiongezea kipato?
Sasa wote mkikimbilia huko nani atawesemea wanyonge? kwa maana mimi naamini vyombo vya habari ni mhimili wa kwanza wa jamii yoyote tofauti na upuuzi wa baadhi ya wanasiasa kuwa ni mhimili wa nne!
NAOMBA JIBU WANA JF
Sasa hapa jamvini kuna waandishi wengi Mwanakijiji na wenzake naomba mtweleze hivi baadhi yenu kama Nkamia mnapojitosa kwenye siasa mna maana gani? mnaenda kuharakisha ukombozi au kujiongezea kipato?
Sasa wote mkikimbilia huko nani atawesemea wanyonge? kwa maana mimi naamini vyombo vya habari ni mhimili wa kwanza wa jamii yoyote tofauti na upuuzi wa baadhi ya wanasiasa kuwa ni mhimili wa nne!
NAOMBA JIBU WANA JF