William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- I mean nipo njiani hapa kwenye Treni, ninatokea Boston kurudi New York City, njiani humu ninajionea Wazungu masikini, lakini nyumba zao ni safi, maeneo yao ni masafi, nyumba za mbao na mabati lakini zimewekewa uzio, kwa majani senyenge, miti au hata waya tu kuzunguka nyumba!
- Na pia bara bara sio za lami, lakini zimepangiliwa na zinaonyesha Mlango wa mbele wa nyumba, kuna box la barua, sasa sisi Tanzania jamani tumemkosea nini Mungu? I mean uchafu, wanyama wanakimbia kimbia hovyo bila mpango, hujui mbele ya nyumba ni wapi na nyuma ni wapi?
- I mean haya mengine ni yetu wananchi sio ya Serikali bana, Tubadilike tukitoka hapa JF twende majumbani na kwenye society and do something to our Society please!,
- Tumezidi mno, tubadilike sasa!
Willie @ NYC, USA.
- Na pia bara bara sio za lami, lakini zimepangiliwa na zinaonyesha Mlango wa mbele wa nyumba, kuna box la barua, sasa sisi Tanzania jamani tumemkosea nini Mungu? I mean uchafu, wanyama wanakimbia kimbia hovyo bila mpango, hujui mbele ya nyumba ni wapi na nyuma ni wapi?
- I mean haya mengine ni yetu wananchi sio ya Serikali bana, Tubadilike tukitoka hapa JF twende majumbani na kwenye society and do something to our Society please!,
- Tumezidi mno, tubadilike sasa!
Willie @ NYC, USA.