Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Mkuu Willie, I think this is a generation problem and somehow the skewed and irrational thinking kwamba hela ndiyo kila kitu. Nikikumbuka miaka ile vijijini pamoja na vijumba kuwa vya nyasi lakini unakuta kuna uwanja umefagiliwa, some lawn na hata maua. Nenda vijiji vya sasa huwezi amini kinachoendelea. Ukija mijini ndiyo kabisaa mtu atakwambia maji hamna, serikali haijafanya hili wala lile etc. But something very funny akijichanganya mtu mwenye tabia ya usafi hata kule uswahilini kabisa utasikia ebanaaaeee hapa anakaa mzungu nini?
Lingine ambalo linaniwia ugumu kulipambanua but just some points to ponder.........Mkuu unakumbuka yale maeneo yalikuwa yakiitwa uzunguni miaka ileeee? So beatiful, clean and green leo hii sijui kumetokea nini it's just a shame viduka kila mahali na vijikontena vya bia.
U go in a place like Hillbrow in Joburg South Africa, inafanana sana na Harlem kwa maana kwamba ni inner city suburb, high rise buildings is the norm, dominated na watu weusi and has been there for ages. The major difference ni kwamba ilikuwa ikikaliwa na wazungu zamani na sasa hakuna mweupe hata mmoja. Hii sehemu ni chafu kuliko kariakoo. Taka kila mahali mpaka kwenye door steps.Few meters away kuna Bramftoein totally different kusafi na system ya usafi na ukusanyaji taka ni ile ile kama Hillbrow. Tofauti wakazi wa huko ni mchanganyiko (weusi, weupe, yellow u name it) na most areas ziko dominated na wanafunzi wa Witts uni. Niliwahi kumuuliza ofisa mmoja why such a huge difference? Akaniambia simple watu wa Hillbrow can live with it (uchafu) na wanaamini usafi wa mazingira yao ni responsibility ya serikali.
Lingine ambalo linaniwia ugumu kulipambanua but just some points to ponder.........Mkuu unakumbuka yale maeneo yalikuwa yakiitwa uzunguni miaka ileeee? So beatiful, clean and green leo hii sijui kumetokea nini it's just a shame viduka kila mahali na vijikontena vya bia.
U go in a place like Hillbrow in Joburg South Africa, inafanana sana na Harlem kwa maana kwamba ni inner city suburb, high rise buildings is the norm, dominated na watu weusi and has been there for ages. The major difference ni kwamba ilikuwa ikikaliwa na wazungu zamani na sasa hakuna mweupe hata mmoja. Hii sehemu ni chafu kuliko kariakoo. Taka kila mahali mpaka kwenye door steps.Few meters away kuna Bramftoein totally different kusafi na system ya usafi na ukusanyaji taka ni ile ile kama Hillbrow. Tofauti wakazi wa huko ni mchanganyiko (weusi, weupe, yellow u name it) na most areas ziko dominated na wanafunzi wa Witts uni. Niliwahi kumuuliza ofisa mmoja why such a huge difference? Akaniambia simple watu wa Hillbrow can live with it (uchafu) na wanaamini usafi wa mazingira yao ni responsibility ya serikali.