Kwanini wachaga wa Marangu ni Bab kubwa/wajanja/waelewa kwa ufupi wako juu sana?
sio kweli weweee...mbona mie wa huko lakini siko kama ulivyosema....tena mie wa pale mtoni kabisaa city center yenu ila fara tuu na najijua kuwa mie ni fara....sasa wewe sijui nani kakudanganya eti sie wajanja etc.... Dogo kuwa kiakili na ufikirie mambo mengi makubwa na sio utoto kama huo...futa kauli hiyo laa sivyo tukuhesabu kuwa ni mkabila na mbaguzi mkubwa usiyestahili jukwaa hili....nakupa siku saba
Kwanini wachaga wa Marangu ni Bab kubwa/wajanja/waelewa kwa ufupi wako juu sana?
<br />Suala la ubaguzi huwezi kunizuia kwani nimezaliwa mbaguzi kama imekuboa usisome wala usiandike kitu kwenye posts zangu, mi mbaguzi tena mbaguzi ile mbaya, kama wewe ni MMarangu alafu ni fara huo utakuwa ni ubwege wako, ila washkaji zangu woooooote wa Marangu wajanja ile kichizi, wewe utakuwa MMarangu chotara (Fake) acha kuwaharibia washkaji CV
Hahaha! kamanda umenichekesha sana na kunikumbusha profesa 1 alioniambia ukishajua hujui tayari ushajua.sio kweli weweee...mbona mie wa huko lakini siko kama ulivyosema....tena mie wa pale mtoni kabisaa city center yenu ila fara tuu na najijua kuwa mie ni fara....sasa wewe sijui nani kakudanganya eti sie wajanja etc.... Dogo kuwa kiakili na ufikirie mambo mengi makubwa na sio utoto kama huo...futa kauli hiyo laa sivyo tukuhesabu kuwa ni mkabila na mbaguzi mkubwa usiyestahili jukwaa hili....nakupa siku saba
hili halina kabila ndugu yangu, inaelekea kwenye ugonjwa wa taifa sasa!!kweli wamejanjaruka mpaka wanabanduliwa now dayz. i wish ningeweza toa mifano ya wamarangu wachache niwajuao. Labda ndo ujanja na ubab kubwa mtoa mada anao uongelea.