nan kakwambia weee! Pumbavuuuu! Hakuna kitu kama icho. Alafu hacha tabia za kihaya kuongelea makabila
sio kweli weweee...mbona mie wa huko lakini siko kama ulivyosema....tena mie wa pale mtoni kabisaa city center yenu ila fara tuu na najijua kuwa mie ni fara....sasa wewe sijui nani kakudanganya eti sie wajanja etc.... Dogo kuwa kiakili na ufikirie mambo mengi makubwa na sio utoto kama huo...futa kauli hiyo laa sivyo tukuhesabu kuwa ni mkabila na mbaguzi mkubwa usiyestahili jukwaa hili....nakupa siku saba
Suala la ubaguzi huwezi kunizuia kwani nimezaliwa mbaguzi kama imekuboa usisome wala usiandike kitu kwenye posts zangu, mi mbaguzi tena mbaguzi ile mbaya, kama wewe ni MMarangu alafu ni fara huo utakuwa ni ubwege wako, ila washkaji zangu woooooote wa Marangu wajanja ile kichizi, wewe utakuwa MMarangu chotara (Fake) acha kuwaharibia washkaji CV
Ernie "Ukisha vuta Bangi" zako usiingie humu,hiyo ni Bangi inakuongoza!!!
Kwanini wachaga wa Marangu ni Bab kubwa/wajanja/waelewa kwa ufupi wako juu sana?
Kwanini wachaga wa Marangu ni Bab kubwa/wajanja/waelewa kwa ufupi wako juu sana?
Ernie "Ukisha vuta Bangi" zako usiingie humu,hiyo ni Bangi inakuongoza!!!
Hata mie nakubaliana na wewe kaka. Hawa jamaa ni wataalam wa kupiga mizinga ( wezi) ile mbaya. Wanaume wana maringo haijawahi kutokea. Wakina dada ndo usiseme kabisa. Ni kunata tuuu!
mmmmmhhhhh hii sijaipenda hata kidogo...then we better think what to write n bring here to discuss sio ivi vya kikabila wala kidini..pole zako kwa fikra ulizonazo.now days hakunaga vitu vya namna hii aisee.