Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
- Thread starter
- #81
Uliiona na hii?
Nilikuwa nakufuatilia tuu nione watu watasema nini na response yako, kwahiyo ungukuwa MB wa mtera usingesaini au ungesaini, au ndio ungesubiri legal proof, i mean usubiri mtu ashitakiwe ashinde ndio u vote?
Miaka mingapi hiyo kwa huku kwetu TZ, nadhani itakuwa kama miaka mitatu hivi mmmmh!