dr shadrack
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 230
- 21
general labaratory na labaratory science zko tofaut au?mkuu kwa nin asisome general lab science awe na sehemu nyingi za kufit
general labaratory na labaratory science zko tofaut au?mkuu kwa nin asisome general lab science awe na sehemu nyingi za kufit
hamna tofauti niliandika general Ku itofautisha na zile zilizo base field moja tu mfano medical lab au water labgeneral labaratory na labaratory science zko tofaut au?
Kama ni hivyo sawa apige medical labNajaribu kuangalia wapi pana market zaidi na kuwa na sehemu ya kuwa na biashara yake kama kuwa na medical lab kama tunazoziona mitaani. Hasa nimelenga huko. Hawa wanahitajika sana. Nilikuwa NIMR wana nafasi nzuri zaidi compared to general ones. Unaonaje thinking yangu.
Kokote zilipo maabarageneral labaratory na labaratory science zko tofaut au?
mkuu kwaiyo labaratory science inauwanja mpana kuliko ile ya vyuo vya afya na n.k? it mean imebeba vitu ving?hamna tofauti niliandika general Ku itofautisha na zile zilizo base field moja tu mfano medical lab au water lab
Tofauti ni Lab science and technology na ile ya sua lab science ya SUA
poa nmekusoma mkuu?Kokote zilizo maabara
Viwanda almost vyote vinahitaj watu wa lab tech,vyuoni,TBS,TFDA,kwa mkemia mkuu wa serekal sehem nying tu
Kuna wanaosoma lab tech pale dit walienda field mpk benk ya damu
So ina fit sehem nying
Hesabu ndo imeharibu hapoMkuu geometry salute kwa elimu tosha unaiyoitoa hapa
Binti yangu ana matokeo yafuatayo
Civ.C,Hist.D,Geo.C,Kis.C,Eng.C,Phy.D,Chem.D,Bio.C,Math.F
Je anaweza kusoma course gani hasa D.I.T?
Hapo kweny mshahara siwez kujibu,inategemea mtu anafanya kaz wapinimesoma almost comment zote bt cjaona hata mmoja aliyeuliza swali nlilonalo kichwani, naomba kuuliza, katika course zote hizo hvi ni ipi au zipi ambazo zipo more marketable na hata payment ya salary iko vizur?? ninashida na majibu wakuu.
mkuu na labaratory science iko kund lip apoHapo kweny mshahara siwez kujibu,inategemea mtu anafanya kaz wapi
Zilizo marketable zaid ni zile zinazoingia sehem nying
Civil
Mechanical na
Electrical
Pia kuna zenye upungufu wa watu kutokana na upya wake/ugumu/demand kubwa
Biomedical
Food technology
Mechatronics
Courses za water
Courses za IT kama telecom,computer engineering,Computer science,Multimedia
Hizi ni talent based,soma ikiwa inatoka moyoni/unajua kwa kwenda baada ya kumaliza chuo
Course gani mkuu?Kama huna msing mzur wa olevel hyo course itakutoa jasho
Hesabu utasoma advanced math topics za trig,vector na algebra
Physics utarudia zile za olevel kama heat
Wew ni mmoja wa yale wanaosomea kitu kwa mkumbo??nimesoma almost comment zote bt cjaona hata mmoja aliyeuliza swali nlilonalo kichwani, naomba kuuliza, katika course zote hizo hvi ni ipi au zipi ambazo zipo more marketable na hata payment ya salary iko vizur?? ninashida na majibu wakuu.
Mkuu biomedical ni engineering,so haingiliani sana na nursing,hyo certificate haitomsadia kuwa admitedMkuu hii thread upo njema Sana Kuna bwana mdogo Wang kamaliza o'level 2009 akapga certificate ya nursing and midwife yupo ndani ya ajira anapenda kusoma Diploma ya Biomedical engineering ufaulu wake physics C chemistry D biology D mathematics D English D vp wanaweza kumchukua kupiga hiyo biomedical
Asante mkuu,by the way hii pre entry itamchukua muda gani? Na VP juu ya taaratibu za kuingia chuoni itabidi aaplay NACTE ama direct chuoni utaratibu ukoje maana system Kila kukicha mambo yanabadilika.Mkuu biomedical ni engineering,so haingiliani sana na nursing,hyo certificate haitomsadia kuwa admited
Lakin kwa matokeo yake ame qualify japo ataanzia pre entry
By the way atakuw competent sana kama aki mix experience yake ya nursing na new knowledge ya biomedical