Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 758
- 1,232
Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuwa na Vyuo vikuu bora katika maswala ya kilimo Afrika.
1. Kenya- Egerton University; Jomo Kenyata University of Agriculture & Technology
2. Tanzania- Sokoine University of Agriculture
Sasa baada ya Kenya kuruhusu matumizi ya mbegu za GMO, wasomi kutoka Vyuo vya kilimo kwa kuwa wengi wenu mmesomeshwa na pesa za walipa kodi ktk nchi za Afrika mashariki.
Ni wakati wenu kuja na majibu ya Aidha kukubali au kukataa matumizi ya GMO, kwa kuweka faida/ athari zake.
1. Kenya- Egerton University; Jomo Kenyata University of Agriculture & Technology
2. Tanzania- Sokoine University of Agriculture
Sasa baada ya Kenya kuruhusu matumizi ya mbegu za GMO, wasomi kutoka Vyuo vya kilimo kwa kuwa wengi wenu mmesomeshwa na pesa za walipa kodi ktk nchi za Afrika mashariki.
Ni wakati wenu kuja na majibu ya Aidha kukubali au kukataa matumizi ya GMO, kwa kuweka faida/ athari zake.