Maji Chai
JF-Expert Member
- Dec 8, 2018
- 252
- 329
Wakuu habari za muda huu,
Nipo zangu natoka Mwanza kuelekea Sengerema nmepanda hii MV Mwanza kwakweli usafi wa vyoo sio mzuri hata kidogo na cha ajabu hivi vyoo naona vipo pembeni na canteen yao hapa juu.
Sijui ni kwa namna gani hawa wapishi wanapata hata nguvu za kupika na kuwahudumiwa wateja wake kwenye eneo ambalo choo kinanuka kiasi hiki.
Hili jambo inabidi walifanyie kazi kwakweli.
Nipo zangu natoka Mwanza kuelekea Sengerema nmepanda hii MV Mwanza kwakweli usafi wa vyoo sio mzuri hata kidogo na cha ajabu hivi vyoo naona vipo pembeni na canteen yao hapa juu.
Sijui ni kwa namna gani hawa wapishi wanapata hata nguvu za kupika na kuwahudumiwa wateja wake kwenye eneo ambalo choo kinanuka kiasi hiki.
Hili jambo inabidi walifanyie kazi kwakweli.