KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Heshima kwenu Wanabadi, Asubuhi ya leo wakati nieleke kujitafutia riziki nimekutana na hilo bandiko hapo juu katika makutano ya bara bara za jiji.
Nimeona ni Vizuri tukalijadili sababu baada ya kulisoma nikawa na maswali mengi ambayo sikuwa na majibu!
Jadili mapungufu au mashiko ya Bango hili
Nimeona ni Vizuri tukalijadili sababu baada ya kulisoma nikawa na maswali mengi ambayo sikuwa na majibu!
Jadili mapungufu au mashiko ya Bango hili