figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Hapa dar es salaam hali imekuwa tofauti kutokana na vurugu za mbeya.
Kwa sasa hivi viazi mviringo vya chips vimeadimika na bidhaa nyingine za mbeya.sababu kubwa ni kwamba hamna magari yanayotoka mbeya.gunia la viazi ilikuwa tsh58000-61000/- lakini leo gunia ni tsh 78000-80000/-.iwapo hali itaendelea kuwa tete bei inaweza kuongezeka.
chanzo.masoko ya dar es salaam.mia
Kwa sasa hivi viazi mviringo vya chips vimeadimika na bidhaa nyingine za mbeya.sababu kubwa ni kwamba hamna magari yanayotoka mbeya.gunia la viazi ilikuwa tsh58000-61000/- lakini leo gunia ni tsh 78000-80000/-.iwapo hali itaendelea kuwa tete bei inaweza kuongezeka.
chanzo.masoko ya dar es salaam.mia