Mh, ndugu yangu!
Wakati watu wanaumwa vichwa na mambo kama sheria mpya mifuko ya hifadhi ya jamaii, ufisadi TANESCO, mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama ya maisha, maafa ya ajali ya meli Z'bar, upuzi unaofanywa pale bungeni na hoja nyingine nyingi zinazohitaji Great Thinking, wewe unatuletea topic kama hii. Sasa unataka tuchangie nini ndugu yangu?!
Kwani kama wanakukera, si kuna radio stations kibao zinazochambua magazeti kila siku, kwa nini usisikilize kwingine? Au kama vipi si upite tu kwenye vibanda vya magazeti vipo vingi tu mtaani utajichagulia mwenyewe.
Inasikitisha sana. Post no.1 kitu cha maana zaidi ulichoona ni kujadili issue hii. Aisee, kazi ipo kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.