Zama zile utapenda sana

kwamwitongo

Member
Mar 23, 2022
8
19
Kipindi cha nyuma au zama zile utapenda jamani. Kwa upande wa redio utapenda sana utasikia habari RTD,utafungulia RFA na hapo utasubiri BBC au sauti ya amerika na mchana redio ujeruman habari zilizopo ni habari na siasa uchambuzi.

Wanaochambua siasa ahhh acha utawapenda walikuwa hawafungamani na chama chochote.yaani raha. Siku hizi redio ni michezo mwanzo mwisho sijui kama mmelingundua. Siku hizi redio ni habari za mapenzi na mahusiano.hakuna elimu ya kwende shambani,au vipindi vya vyakula bora.

Magazeti huko wala sisemi shida tupu.jamani zmani ahhhh acha bwana utapenda .Kipindi hicho kuabudu sio sio utani utani.sijui miujiza ahhh ulikuwa unaleta habari zingine.watu walikua wanakaa kwenye neno.njoo kwenye muda wa chakula ahhh sio sio mchezo mchezo.maombi yanafanyika hapo utafikiri ibada.siku hizi mmmm Mungu atusamehe.ibadani unaenda kwa heshima mavazi marefu kila mtu ana biblia siku hizi watu biblia ziko kwenye simu.zamani raha jamani mbolea tulikuwa hatuijui mahindi ukilima palilia subiri kuvuna.SIJUI hata ardhi imetusambu mi mwenzenu nashindwa kuelewa tatizo ni nini.kweli mbolea ikawa laki, jamani mbona ni hatari.ohhh jaman zamani raha.ni kama miaka therathin ndipo mambo yamebadilika ardhi imetusambu,maji nayo taratibu yanapotea.MWISHO nasema unajua tatizo nini usikose toleo lijalo
 
Dash! Nakumbuka miaka ya 1994 nafwatilia vita vya Rwanda kupitia RTD na radio moja ukikaa vibaya mwende wanazama ndani halafu inazima
 
Sasa wakitoka kwenye michezo na mapenzi, ni mwendo wa miziki ya 'hovyo' utasikia mara top 5, top 10, 20 na utopolo mwingi. Ikiingia taarifa ya habari ni kusifia serikali tu. Kusikiliza radio ni kazi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kipindi hicho elimu ilikuwa juu sana.na hali ya kusoma vitabu ilikuwa juu sana siku hizi madogo yanapenda kuangalia luninga mwanzo mwisho.
 
Kipindi cha nyuma au zama zile utapenda jamani. Kwa upande wa redio utapenda sana utasikia habari RTD,utafungulia RFA na hapo utasubiri BBC au sauti ya amerika na mchana redio ujeruman habari zilizopo ni habari na siasa uchambuzi.

Wanaochambua siasa ahhh acha utawapenda walikuwa hawafungamani na chama chochote.yaani raha. Siku hizi redio ni michezo mwanzo mwisho sijui kama mmelingundua. Siku hizi redio ni habari za mapenzi na mahusiano.hakuna elimu ya kwende shambani,au vipindi vya vyakula bora.

Magazeti huko wala sisemi shida tupu.jamani zmani ahhhh acha bwana utapenda .
Mimi napenda ule wimbo wa aeeh afrika unapigwa duniani wiki hii.
Unanikumbusha enzi kabla sijawa na majukumu niko kwa wazazi kula kulala
 
kipindi hicho michezo ilikuwa inapendwa hatari.kwa huku kwetu kulikuwa na timu inaitwa tukuyu star au wanyambara weee acha.Nakumbuka kulikuwa na timu inaitwa pamba,meko usifanye mchezo gemu likianza kutandazwa.kuna wachezaji wachache tu nawakumbuka iddi bili lunyamila.sekiloja chambua.george masatu njemba zilikuwa hatari wanajituma na mshahara wao ulikuwa kidogo.mmmm madogo ya siku hizi mmmmm ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom