Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Wanabodi,

Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti!.

Leo nilikuwa naangalia jinsi Bunge la Marekani, the Congress linavyomshughulikia rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo azimio la kumshitaki kwenye Bazara la Senate limepitishwa, japo kule Senate itakuwa ni ngumu kwa azimio hilo kupata ile theluthi 2 ya kumuondoa ila kumshitaki tuu rais ni hatua kubwa.

Kuna mchangiaji mmoja akasema hata Tanzania ikithibitishwa rais Magufuli amevunja katiba kwa kuzuia mikutano ya siasa kinyume cha katiba, anaweza kushtakiwa!.

Ndipo nikauliza ni Bunge lipi hilo la kumshitaki Rais Magufuli?, nikauliza kama ni Bunge hili hili la Mhe. Ndungai au ni Bunge lijalo?, na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndungai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo sauti hiyo imenieleza hizo sababu za kwa nini Mhe. Ndungai hataendelea kuwa Spika Bunge lijalo, lakini sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

Hili la kutokusema kila unachokisikia, nimelisisitiza hapa
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums

Jambo tangu baada ya Spika Sitta, trends za uspika zimeonyesha kiti cha Spika ni just one term only na term hiyo ikiisha, Naibu Spika ndio huwa Spika. Wakati wa Spika Sitta, Naibu Spika alikuwa Anna Makinda, japo Sitta alitamani kuendelea, aliwekwa pembeni, Naibu wake Anna Makinda akachaguliwa kuwa Spika. Wakati wa Spika Anna Makinda, Job Ndugai alikuwa Naibu Spika, baada ya Makinda kumaliza one term yake, Naibu wake Job Ndugai akawa Spika, hivyo trends zinaelekeza baada ya Spika Job Ndugai, automatically, Spika anayefuatia ni Naibu Spika Dr. Tulia Akson, ila hili sio bandiko la trends za uspika ni bandiko la " Voices from Within".

Hitimisho.
Hiki kinachofanywa na Bunge la Marekani kwa rais wao, jee kingeweza kufanywa na Bunge la Tanzania, suppose ni kweli rais Magufuli anakiuka Katiba?.
Hoja kama jee ni kweli rais Magufuli anakiuka katiba au laa, bado sio hoja kwasababu mamlaka peke yenye uwezo wa kutafsiri sheria kama kwa kuzuia mikutano ya siasa, rais Magufuli akiuka katiba ama laa ni Mahakama Kuu pekee, na so far hakuna mtu yoyote au chama chochote kilicho omba tafsiri ya kisheria ya uamuzi huo wa rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa kama unakiuka katiba au laa, lakini pia kwa vile Spika ajae kwa mujibu wa maono haya ni Dr. Tulia Akson, hata rais Magufuli akikiuka katiba, Bunge la Dr. Tulia, tena kwa kuzingatia litakuwa ni Bunge la chama kimoja CCM, litaweza kumwajibisha rais?.

Alhamisi Njema.
Paskali
Lakini kaka Paskali utabiri wa Lema ulitimia and Magufuli is gone na pengine wa ndugai huenda nao ukatimia, ingawa uli-categorize kama source ya utabiri wake ni shetani based on your views or visions.
All in All naamini wote Lema and You mna unique abilities, and that is unquestionable.
 
Sitting ya Bungeni ni
1. Kiti - maana yake Spika anakaa mbele kuliongoza Bunge na kuwaongoza wabunge, huku kiti chake kikiwa highly elevated kutengeneza conference kuwa wewe ndio uko juu. Na yale mavazi, regalia, joho kukupa powers za umuhimili, na lile siwa ni dungu la pure gold kukupa thamani, value
hivyo ukikalia like kiti, hata wewe ni mfupi kama Andinje unajiona uko kama Goliati unaongea kwa confidence na kutamba kweli kweli!.
2. Front Row anakaa Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu na mawaziri, second row manaibu mawaziri
3. Back Bench ni viti vingine vyote, wanakaa wabunge wengine wote wa kawaida, hakuna any special preferential treatment kwa Spika Mstaafu, anakwenda kukaa back Bench.

What will happen,
Kwanza kwa kulitambua hilo ili kuzuia asipate psychological depression, ile gari ya Spika, anastaafu nayo kwa kuzawadiwa, kisha anaendelea kulipwa 80% ya mshahara wa Spika for the rest of his life.

Ila uzoefu unaenyesha wakuu wote wanapotumbuliwa na kutoka front row kwenda back Bench, kwanza huendelea kuhudhuria vikao ili wasikose posho, lakini hususa kuchangia chochote Bungeni, hugeuka mabubu ghafla!.

Hili nililiona kwa Lowassa, toka baada ya kurudi backbench hakuchangia chochote, hata Prof. Muhongo, na mawaziri wanaotumbuliwa, wanakuwa na kinyongo.
Exception pia zipo kwa Nape na January, walipotumbuliwa hawa waliendelea kutupia vijembe kule Twitter na kuchangia.

Standing Orders za utumishi wa umma, zimeweka utaratibu mzuri, mtu kama ulikuwa top boss wa Taasisi, ukiwa demoted, kuondoa psychological ridicule, unapaswa kuhamishwa na kupelekwa pengine.

Mfano JYN alipaswa apewe ubalozi hivi ili asinyongonyee, tena uzoefu unaonyesha Afya zao hutetereka ghafla na wengi wao soon huwa ...

P
Kustaafu na gari ya spika sio kuwa spika. Kinachomsumbua sasa ni kuwa alifikiri ni mtu mkubwa sana na hakuna angeweza kumgusa.

Kukaa back bench bila kupata presha ni kitu cha kushukuru sana, kama ni mtu mwenye ego. Kweli kua uyaone.

Jenerali Ulimwengu aliposema kuhusu bunge, boss alimuamshia dude..yeye kaangukiwa na jumba bovu., Na wewe Paskali unamdanganya kutembelea gari ya aliyekuwa spika ni sawa na kuwa spika mwenyewe.

Maajabu hayaishi Tanzania. Kweli bongo siwezi kuhama
 
Sitting ya Bungeni ni
1. Kiti - maana yake Spika anakaa mbele kuliongoza Bunge na kuwaongoza wabunge, huku kiti chake kikiwa highly elevated kutengeneza conference kuwa wewe ndio uko juu. Na yale mavazi, regalia, joho kukupa powers za umuhimili, na lile siwa ni dungu la pure gold kukupa thamani, value
hivyo ukikalia like kiti, hata wewe ni mfupi kama Andinje unajiona uko kama Goliati unaongea kwa confidence na kutamba kweli kweli!.
2. Front Row anakaa Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu na mawaziri, second row manaibu mawaziri
3. Back Bench ni viti vingine vyote, wanakaa wabunge wengine wote wa kawaida, hakuna any special preferential treatment kwa Spika Mstaafu, anakwenda kukaa back Bench.

What will happen,
Kwanza kwa kulitambua hilo ili kuzuia asipate psychological depression, ile gari ya Spika, anastaafu nayo kwa kuzawadiwa, kisha anaendelea kulipwa 80% ya mshahara wa Spika for the rest of his life.

Ila uzoefu unaenyesha wakuu wote wanapotumbuliwa na kutoka front row kwenda back Bench, kwanza huendelea kuhudhuria vikao ili wasikose posho, lakini hususa kuchangia chochote Bungeni, hugeuka mabubu ghafla!.

Hili nililiona kwa Lowassa, toka baada ya kurudi backbench hakuchangia chochote, hata Prof. Muhongo, na mawaziri wanaotumbuliwa, wanakuwa na kinyongo.
Exception pia zipo kwa Nape na January, walipotumbuliwa hawa waliendelea kutupia vijembe kule Twitter na kuchangia.

Standing Orders za utumishi wa umma, zimeweka utaratibu mzuri, mtu kama ulikuwa top boss wa Taasisi, ukiwa demoted, kuondoa psychological ridicule, unapaswa kuhamishwa na kupelekwa pengine.

Mfano JYN alipaswa apewe ubalozi hivi ili asinyongonyee, tena uzoefu unaonyesha Afya zao hutetereka ghafla na wengi wao soon huwa ...

P
Hapo mwishoni unamaanisha hufa?😎
 
Wanabodi,

Ndipo mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndungai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo

Alhamisi Njema.
Paskali
Sijawai kuuona weledi wa kazi yako. Huna tofauti na TBC.
Sijawahi kuuona ukweli wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Los técnicos , Kwa vile mimi ni mwana habari, kazi yangu rasmi ni uhabarishaji umma, weledi wa kazi yetu ni kutoa tuu taarifa za kweli, yaani truthfulness, with objectivity, impartiality and balance.

Ukweli ni hayo ninayo yaripoti humu yanapokuja kutokea ukweli. Mfano mzuri ni hili la kusikia sauti Tulia ndie spika ajae na kweli limetokea sasa Ndugai sio Spika tena, Tulia ndie Spika.

P
 
Wanabodi,

Ndipo nikauliza ni Bunge lipi hilo la kumshitaki Rais nikauliza kama ni Bunge hili hili la Mhe. Ndungai au ni Bunge lijalo?, na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson.
Paskali
This voice was never wrong, Bunge la Speaker Dr. Tulia Akson, leo ndio limeanza rasmi kuisimamia Serikali.
Wanabodi,

Moja ya kazi za Bunge ni Kuisimamia serikali. Bunge la Mhe. Job Ndugai, lilituhumiwa kuwa ni Bunge dhaifu kuwahi kutokea, hivyo Spika Job Ndugai kuhesabika ni Spika dhaifu kabisa kuwahi kutokea, hivyo kupachikwa jina la "Bora Spika" Kwa kuanzia mimi niliisikia sauti hii Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Job Ndugai alipojiuzulu tukasema Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa?

Kwa vile Dr. Tulia alikuwa ni Naibu Spika wa Spika dhaifu, alipochaguliwa kuwa Spika, kuna watu walidhani Bunge la Tulia litakuwa ni Bunge Dhaifu kama Bunge la Ndugai.

Nilitoa ushauri huu Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Sasa hiki ndio kinatokea Leo,

Bunge la Dr. Tulia, sasa limeanza kuisimamia Serikali kiukweli ukweli!, leo limesimamisha shughuli zake zote kujadili hoja ya dharura ya Mhe. Omari Kigua, kujadili kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol na dizeli.​


Hongera Sana Spika Tulia, Bunge sasa linaisimamia serikali

Keep Watching Bunge Live

na Kazi iendelee!

Paskali.
P
 
Wee jamaa kama sio prophet basi utakuwa mchawi nguli, nifundishe hii kitu
Du! Nyie ndiyo mnaliwa fedha zenu na waganga wa kienyeji kwa sababu ya ujinga wenu. Hapa jamaa alikosea vibaya sana. Alisema atakuwa spika baada ya uchaguzi. ''Uchaguzi'' ulipoisha Ndugai aliendelea kuwa spika na sababu zilizofanya aondoke ni tofauti kabisa na ''alizotabiri'' huyu mchumia tumbo.
 
Wanabodi,

Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti!.

Leo nilikuwa naangalia jinsi Bunge la Marekani, the Congress linavyomshughulikia rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo azimio la kumshitaki kwenye Bazara la Senate limepitishwa, japo kule Senate itakuwa ni ngumu kwa azimio hilo kupata ile theluthi 2 ya kumuondoa ila kumshitaki tuu rais ni hatua kubwa.

Kuna mchangiaji mmoja akasema hata Tanzania ikithibitishwa rais Magufuli amevunja katiba kwa kuzuia mikutano ya siasa kinyume cha katiba, anaweza kushtakiwa!.

Ndipo nikauliza ni Bunge lipi hilo la kumshitaki Rais Magufuli?, nikauliza kama ni Bunge hili hili la Mhe. Ndungai au ni Bunge lijalo?, na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndungai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo sauti hiyo imenieleza hizo sababu za kwa nini Mhe. Ndungai hataendelea kuwa Spika Bunge lijalo, lakini sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu,
Paskali
Hizo ni bangi na "paradigm" ya kisukuma zimechanganyika.

Toka lini msukuma akakubali kwenye nafsi yake kuongozwa na mwanamke?

kwanza anaesikia sauti zinamsemesha huyu "schizophrenic". Una matatizo makubwa sana ya "psychiatric" .Muone daktari wa machizi mapema sana.
Wasukuma watakuja kupinga humu. Wa kwanza atakuwa Pascal Mayalla maana kishaweka nyuzi za kujaza watu ujinga kuhusu mama. Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke! Fala sana yule jamaa.
Najisikia very proud kuwa Msukuma, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wachapa kazi, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wenye roho nzuri, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wenye upendo na kuongoza kupenda. Ndilo kabila linaloongoza kwa watu wema, wapole, wanyenyekevu, wastahimilivu, wenye heshima. Licha ya wewe kunitukana humu kila uchao, mimi sijawahi kukutukana, naendelea kukuheshimu and besides everything, I always love you.
Karibu mitaa hii, ushuhudie huyu Msukuma Pasco, asivyo kubali kuongozwa na Mwanamke!
P.
 
Najisikia very proud kuwa Msukuma, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wachapa kazi, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wenye roho nzuri, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wenye upendo na kuongoza kupenda. Ndilo kabila linaloongoza kwa watu wema, wapole, wanyenyekevu, wastahimilivu, wenye heshima. Licha ya wewe kunitukana humu kila uchao, mimi sijawahi kukutukana, naendelea kukuheshimu and besides everything, I always love you.
Karibu mitaa hii, ushuhudie huyu Msukuma Pasco, asivyo kubali kuongozwa na Mwanamke!
P.
Jisikie vyovyote upendavyo lakini sisi tunwajua Wasukuma ni ma fala tu.
 
Wanabodi,
na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndungai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo sauti hiyo imenieleza hizo sababu za kwa nini Mhe. Ndungai hataendelea kuwa Spika Bunge lijalo, lakini sio lazima kusema kila unachosikia,

Alhamisi Njema.
Paskali
Hizi voices from within, sio vitu vya kupuuzia, hii sauti niliyoisikia kumhusu Dr. Tulia ni sauti ya Mungu. Nimemsikiliza leo Bungeni, nimeamini kumbe Dr. Tulia ni mpango wa Mungu kwa Bunge la Tanzania.

Hongera Sana Spika Tulia, and from now on, Watanzania tusikubali mtu yoyote ambaye sio mbobezi wa sheria kuwa Mkuu wa Mhimili wetu wa kutunga sheria. Spika wa kwanza Mwanasheria ni Samwel Sitta tuliona Bunge lile. Pili ni Dr. Tulia, kiukweli kabisa Bunge sasa ni Bunge kweli.
Hongera Sana Tulia.
P
 
Wanabodi,

Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti!.

Leo nilikuwa naangalia jinsi Bunge la Marekani, the Congress linavyomshughulikia rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo azimio la kumshitaki kwenye Bazara la Senate limepitishwa, japo kule Senate itakuwa ni ngumu kwa azimio hilo kupata ile theluthi 2 ya kumuondoa ila kumshitaki tuu rais ni hatua kubwa.

Kuna mchangiaji mmoja akasema hata Tanzania ikithibitishwa rais Magufuli amevunja katiba kwa kuzuia mikutano ya siasa kinyume cha katiba, anaweza kushtakiwa!.

Ndipo nikauliza ni Bunge lipi hilo la kumshitaki Rais Magufuli?, nikauliza kama ni Bunge hili hili la Mhe. Ndugai au ni Bunge lijalo?, na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndugai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo sauti hiyo imenieleza hizo sababu za kwa nini Mhe. Ndugai hataendelea kuwa Spika Bunge lijalo, lakini sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

Hili la kutokusema kila unachokisikia, nimelisisitiza hapa
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums

Jambo tangu baada ya Spika Sitta, trends za uspika zimeonyesha kiti cha Spika ni just one term only na term hiyo ikiisha, Naibu Spika ndio huwa Spika. Wakati wa Spika Sitta, Naibu Spika alikuwa Anna Makinda, japo Sitta alitamani kuendelea, aliwekwa pembeni, Naibu wake Anna Makinda akachaguliwa kuwa Spika. Wakati wa Spika Anna Makinda, Job Ndugai alikuwa Naibu Spika, baada ya Makinda kumaliza one term yake, Naibu wake Job Ndugai akawa Spika, hivyo trends zinaelekeza baada ya Spika Job Ndugai, automatically, Spika anayefuatia ni Naibu Spika Dr. Tulia Akson, ila hili sio bandiko la trends za uspika ni bandiko la " Voices from Within".

Hitimisho.
Hiki kinachofanywa na Bunge la Marekani kwa rais wao, jee kingeweza kufanywa na Bunge la Tanzania, suppose ni kweli rais Magufuli anakiuka Katiba?.
Hoja kama jee ni kweli rais Magufuli anakiuka katiba au laa, bado sio hoja kwasababu mamlaka peke yenye uwezo wa kutafsiri sheria kama kwa kuzuia mikutano ya siasa, rais Magufuli akiuka katiba ama laa ni Mahakama Kuu pekee, na so far hakuna mtu yoyote au chama chochote kilicho omba tafsiri ya kisheria ya uamuzi huo wa rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa kama unakiuka katiba au laa, lakini pia kwa vile Spika ajae kwa mujibu wa maono haya ni Dr. Tulia Akson, hata rais Magufuli akikiuka katiba, Bunge la Dr. Tulia, tena kwa kuzingatia litakuwa ni Bunge la chama kimoja CCM, litaweza kumwajibisha rais?.

Alhamisi Njema.
Paskali
Duh
 
Back
Top Bottom