FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Shida siyo Uzanzibari wau Uanamke wake, shida ni Uislam wake.Hata mimi uliniambiae Kuhusu Samia sitokuelewa sio kwa sababu ni ushabiki bali facts,hadi sasa namba za Uchumi zinasoma vyema kuliko awamu iliyopita..
Hai make sense eti matatizo ya Uchumi wa Dunia yaonekane ni matatizo ya Samia..
Hapa shida ni Uzanzibari wake na Uanamke wake nothing else..
Mtu kama Magufuli alifanya nini cha kwenye Nchi hii kwa mwaka wake mmja tukimlinganisha na Samia?
Nnakuhakikishia kila anaempinga mama humu basi utakuta sio Muislam.