Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Nina miezi sasa,kila nikipiga huduma kwa wateja umefikia ukomo kupiga simu huduma kwa wateja,wanataka nitumie namba ya kulipia,nayo nawapigia sipati ufumbuzi,na ukiacha salio wanachukua!
Airtel nao majanga mwezi wa tatu sasa nikitaka huduma ya airtel Yatosha Noma(airtel to Airtel) inagoma ,ila kifurushi cha airtel kwenda mitandao yote inakubali,ambayo sihitaji,nawapigia CC wanataka tsh 60 kuungoea na mhudumu,nakubali wananikata...ila mhudumu hana uwezo wowote...hii ni tatatizo la shirika letu la Umma kufa TTCL wangekua wamejiamilisha mambo yangekua poa
Airtel nao majanga mwezi wa tatu sasa nikitaka huduma ya airtel Yatosha Noma(airtel to Airtel) inagoma ,ila kifurushi cha airtel kwenda mitandao yote inakubali,ambayo sihitaji,nawapigia CC wanataka tsh 60 kuungoea na mhudumu,nakubali wananikata...ila mhudumu hana uwezo wowote...hii ni tatatizo la shirika letu la Umma kufa TTCL wangekua wamejiamilisha mambo yangekua poa