Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Heri wewe hupo dar.sisi arusha .Voda na tcra kuna ushirikiano na Voda kuiba.kwa taarifa yako nimegundua Mh Raisi Magufuli ni raisi Wa dar na chato .huku mikoani bado hakuna mapadiliko .tuko na tabia zileeeeee.za awamu ya bila uwajibikaji.ataa ttcl wameongwa .embu fikiria kampuni huru ya taifa inaanza na kuboresha 4G badala ya kuanzia 2g na 3g ili kuwakomboa Wa Tz na dhuluma !!?? Utajazaa usilete unafiki hapa mnatuibia alafu mnatutest !!!!????
unaelewa maana ya tofauti ya huduma ya 4g na 2g au 3g ungeelewa maana yake ungewaunga mkono ttcl
 
Nimefungua internet leo kwa upande wa gmail account nikakutana naneno la kiingereza la kujiunga kwenye huduma ya kupata app pamoja na magemu sasa ningewaomba voda muwenatafasiri ya manoya kiswahili kwenye huduma zenu.
 
Mimi nili download Apps moja ya vodacom inayoitwa vodacom sim tv, baada ya kuitumia kwa muda nikagunduwa ina gharama kubwa mno yaani kwa siku tsh.299. nikaona ni vema nijitowe lakini nishaenda kwenye ma VODA SHOP mengi wanashindwa kunitowa tatizo nini ikiwa mimi nikiweka pesa tu nakatwa tsh. 299 kila siku. mnashindwaje kunitowa ikiwa nakatwa pesa kwenye system yenu? Kisha nilishakuwa kama mtumwa mpaka ninunue kifurushi kutokea m-pesa ndiyo hela yangu itapona. Nitoweni bwana no yangu 0754958487
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania

Vodacom mna mambo ya ajabu sana. Siku ya Jumanne tarehe 12 july nililipia Motor vehicle road licence shilingi 170,000 kupitia namba 0754327452. Mkakata hiyo hela ila meseji haikurudi. Nimejaribu kuwapigia customer care zaidi ya mara NNE kila mmoja ananipa jibu lake. Nyie hamjielewi kweli kweli. Mmoja aliniambia linashighulikiwa nitapata meseji baada ya muda mfupi, nikasubiri weeee! Mwingine aLIniambia nisubiri hiyo hela iko "hewani" eti muamala utakuwa cancelled nitarudishiwa BAADA YA MASAA SABINI NA MBILI! NIMESUBIRI HADI LEO NI WIKI NZIMA SASA!! HAMNA KILICHOENDELEA!! Kwa hiyo nitakuwa penalised na TRA kwa kuchelewa kulipia road licence kwa sababu ya uzembe wenu uliotukuka!! Kama "mtandao ulikuwa unasumbua" kwa nin mkate pesa yangu??
Wapuuzi sana nyie. Mmenitia hasara sana kiukweli. Na siku zote hizo mlizokaa na pesa yangu, mtanilipa na riba??
This ia so disappointing!!!
Vodacom Tanzania
 
Wakuu nina imani kuwa mu wazima kiafya..
Katika safari zangu za hapa na pale nimekutana na hali ngumu sana.. Nimekuja Mwanza kumleta mdogo wangu shule...
Fedha zangu nilihamishia M-Pesa for easy access. Baada ya kumaliza issues ziluzonileta jioni hii nilienda kutoa pesa M-Pesa ili nikate tiketi ya kurudi Arusha.... Nilipofika kwa Wakala nikatajiwa namba ambayo baadae jina lililokuja alisema sio lake... Maana yake nilikosea namba ya wakala.. Nilipiga simu Vd wakaniambia nisubiri siku 7...
(alisisitiza mno)
Hapo nilichanganyikiwa kabisa....
Naombeni staff wa vodacom waliopo humu wanisaidie kwa sababu sina namna ya kuendelea kuishi Mwanza.. Nipo maeneo ya nyegezi tu hapa nimejawa na stress...
Msaada tafadhali..
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Wakuu nina imani kuwa mu wazima kiafya..
Katika safari zangu za hapa na pale nimekutana na hali ngumu sana.. Nimekuja Mwanza kumleta mdogo wangu shule...
Fedha zangu nilihamishia M-Pesa for easy access. Baada ya kumaliza issues ziluzonileta jioni hii nilienda kutoa pesa M-Pesa ili nikate tiketi ya kurudi Arusha.... Nilipofika kwa Wakala nikatajiwa namba ambayo baadae jina lililokuja alisema sio lake... Maana yake nilikosea namba ya wakala.. Nilipiga simu Vd wakaniambia nisubiri siku 7...
(alisisitiza mno)
Hapo nilichanganyikiwa kabisa....
Naombeni staff wa vodacom waliopo humu wanisaidie kwa sababu sina namna ya kuendelea kuishi Mwanza.. Nipo maeneo ya nyegezi tu hapa nimejawa na stress...
Msaada tafadhali..
 
Nina shida ya Internet, Huwa nanunua kifurushi cha 25,000 cha mwezi, na natumia mostly kuanzia saa 12 jioni hadi saa nne usiku ninapolala, na asubuhi saa mbili hadi tatu ninapokuwa njiani kwenda ofisini, mchana natumia WiFi ya ofisini.

Kwa muda wa wiki mbili sasa internet ipo slow sana muda wa jioni siwezi hata kutumia email (matumizi yangu makuu).

Hadi nafikiria kubadili line sasa kifurushi hiki kikiisha, labda kujaribu kitabu zenu.

Shida ni nini?
 
Nina shida ya Internet, Huwa nanunua kifurushi cha 25,000 cha mwezi, na natumia mostly kuanzia saa 12 jioni hadi saa nne usiku ninapolala, na asubuhi saa mbili hadi tatu ninapokuwa njiani kwenda ofisini, mchana natumia WiFi ya ofisini.

Kwa muda wa wiki mbili sasa internet ipo slow sana muda wa jioni siwezi hata kutumia email (matumizi yangu makuu).

Hadi nafikiria kubadili line sasa kifurushi hiki kikiisha, labda kujaribu kitabu zenu.

Shida ni nini?
Acha kuteseka mitandao ipo mingi hamia Hallotel mwisho wa matatizo
 
habarini Vodacom

tarehe 12 mwezi wa saba nilifanya hamisho la pesa yangu kutoka mpesa kwenda CRDB tarehe 14 nikiwa CRDB nilijaribu kufuatilia kuona kama muamala wangu umekamilika sikuona kitu ikabidi niwasiliane na dawati la CRDB kujua zaidi wakadai tatizo lipo mpesa nikafanya mawasiliano na dawati la wateja Vodacom ndipo maajabu yakaanzia hapo dawati la Vodacom huduma kwa wateja no hovyo sijapata kuona nimewasilisha tatizo zaidi ya mara nane mpaka leo hii hamna mrjesho wa maana wanadai team ya MPESA inalishughulikia hilo ni zaidi ya Wiki sasa naenda ya pili hamna lililofanyika ina maana Technical team uande wa MPESA ni mbovu sana imeshindwa kutatua tatizo kwa wiki nzima
2. inanipa mashaka pia labda pesa yangu ipo sehemu inazungushwa kwenye biashara za watu
3. Sina uhakika kama ni kweli hao watu wa dawati la huduma kwa wateja wanaweka mkazo kwenye hili suala maana sioni chochote kinaendelea wao wansogeza siku mbele tu yameshapita masaa zaidi ya mia tokea waanze kunipiga kalenda
I need way forward kwenye hili na jinsi ya kulitatua ni muda sana na ni pesa yangu hamna statemenet ya maana nliyoipata mpaka sasa ni hovyo tupu
 
Vodacom mna mambo ya ajabu sana. Siku ya Jumanne tarehe 12 july nililipia Motor vehicle road licence shilingi 170,000 kupitia namba 0754327452. Mkakata hiyo hela ila meseji haikurudi. Nimejaribu kuwapigia customer care zaidi ya mara NNE kila mmoja ananipa jibu lake. Nyie hamjielewi kweli kweli. Mmoja aliniambia linashighulikiwa nitapata meseji baada ya muda mfupi, nikasubiri weeee! Mwingine aLIniambia nisubiri hiyo hela iko "hewani" eti muamala utakuwa cancelled nitarudishiwa BAADA YA MASAA SABINI NA MBILI! NIMESUBIRI HADI LEO NI WIKI NZIMA SASA!! HAMNA KILICHOENDELEA!! Kwa hiyo nitakuwa penalised na TRA kwa kuchelewa kulipia road licence kwa sababu ya uzembe wenu uliotukuka!! Kama "mtandao ulikuwa unasumbua" kwa nin mkate pesa yangu??
Wapuuzi sana nyie. Mmenitia hasara sana kiukweli. Na siku zote hizo mlizokaa na pesa yangu, mtanilipa na riba??
This ia so disappointing!!!
Vodacom Tanzania

hawa jamaa na mimi wamenifanyia uhuni huo tarehe 12 mpaka leo sijapata jibu nimewasiliana nao zaidi ya mara 10 hamna jibu la maana wananipa majibu tofauti tofauti ni wa ajabu sana ila ntalifuatilia hilo hata kama ni miaka kumi nipate stahiki na haki zangu kisheria wakishindwa kulitatua
 
Vodacom ndio hakika wana 4g ila tigo ni wahuni tu, huwezi amini 4G ya tigo inasoma H+(hsdp) pekee huku ya voda inasoma 4g mda mwingi sana tigo ikiwasha data tu inasoma 4g kisha H+

nikafatilia kumbe walichofanya tigo ni upgrade ya mtandao wao wa internet kisha waka architect wakasema ni 4g

wizi mtupu
 
Vodacom ndio hakika wana 4g ila tigo ni wahuni tu, huwezi amini 4G ya tigo inasoma H+(hsdp) pekee huku ya voda inasoma 4g mda mwingi sana tigo ikiwasha data tu inasoma 4g kisha H+

nikafatilia kumbe walichofanya tigo ni upgrade ya mtandao wao wa internet kisha waka architect wakasema ni 4g

wizi mtupu
Usiwe mburula, Watu tunachoangalia ni upatikanaji wa huduma na siyo swala la mtandao kusoma 4G wala H+.
 
TTCL ndio tatizo .kwapewa walarushwa kuliongoza .inawezekana wapi nchi inatumia 1g,2g,3g, alafu kampuni ya Taifa inaanzisha huduma ya 4g .ambayo haipo !!??.Anyway kama Magufuli ni mbia its okey .maana heri ameamua kula eneo moja tuu
 
Mimi nili download Apps moja ya vodacom inayoitwa vodacom sim tv, baada ya kuitumia kwa muda nikagunduwa ina gharama kubwa mno yaani kwa siku tsh.299. nikaona ni vema nijitowe lakini nishaenda kwenye ma VODA SHOP mengi wanashindwa kunitowa tatizo nini ikiwa mimi nikiweka pesa tu nakatwa tsh. 299 kila siku. mnashindwaje kunitowa ikiwa nakatwa pesa kwenye system yenu? Kisha nilishakuwa kama mtumwa mpaka ninunue kifurushi kutokea m-pesa ndiyo hela yangu itapona. Nitoweni bwana no yangu 0754958487
Pole ndugu yangu,una kesi inayofanana na yangu nimeshahangaika kujitoa na simutv nimeshindwa had nikaamua kuachana na hiyo namba isipokuwa tu mpesa na simbanking tu mambo m engine yote ni Airtel. Labda nijiunge na band kupata mpesa vinginevyo wanakata hata kabla hujajiunga watakwambia salio halitoshi wakati umetoka kuongeza salio ndani ya dakika chache.
 
Wala tusidanganyane ndugu zangu. VODA kuna tatizo kubwa. Jana niliweka kifurushi cha internet cha wiki 1000 kwa m-pesa baada ya dakika kama 10 nikapata msg ya salio la sufuri bila kukitumia. Kutaka huduma nikaweka cha 2000 kikawa vile vile kwa muda mfupi nikiwa nimetumia kdg sana, nikaweka cha 1000 tena ikawa vile vile, siku moja. Jioni niliweka kifurushi cha siku moja ndo nimekitumia walau. Sasa nimeweka cha 2000 cha wiki, sijui yatakayonipata. Namba yangu 0767 arobaini sabini na nane hamsini na nne
Mm nshaanza kushawishika na halotel mkuu!mb ya wk ndani ya masaa 3 unaambia huna kifurushi hata kama ulizima data? Kweli hii ni 4g ya mwendo kasi
 
Hivi nyie voda nkisema ni vibaka mtasema nimewatukana? Kifurushi ninunue mchana cha masaa 24 asubuh mnambie kimekwisha muda wake hata kutumia sijatumia si wizi huu? alaf ukinunua muda wa maongezi leo kupitia mpesa jibu linakuja kesho asubuhi,kama huduma imewashinda acheni msitusumbue eboh!mitandao mingine si kwamba hatuioni! Mnaboa!
 
Kwann Huduma zenu ni ghari kuliko mitandao mingine (except TTCL labda ) ?
Mfano ni hivi vifurushi vya intaneti
Tigo = Tsh 1000( 1GB)
Airtel =Tsh 1000 (1GB)
Zantel =Tsh 1000(1GB)
Halotel =Tsh 1000(1GB)
VODACOM =Tsh 1000 (MB500)
 
Back
Top Bottom