Vodacom kuna wizi

mossad007

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
1,165
850
Mwez mmoja uliopita ilikua inatokea nikirecharge nijiunge na kifurushi naambiwa sina salio la kutosha nikichek nakuta salio ni zero na sina kifurushi. Kuna siku nikawapigia kulalamika wakarudisha hela ile waliyonikata mara ya mwisho tu na sio pamoja na zile za Nyuma. Ijumaa nikiwa mkoani kikaz nikarecharge mida ya saa 12 jion ishu ikajirudia nikaona hii ni too much nikawapigia Customer Care wakasema mpka kesho yake J'mos kwan kwa mda ule hawawezi kuretreave data zangu. Jmos nikawapigia Tatu Asubuhi wakasema watashugulikia na kunipa feedback ikawa kimya. Leo nawapigia wanasema data zangu hawawez kuziona ilibidi tatizo langu lishugulikiwe ndani ya Masaa 24 na cm ikakatwa wakati bado nlikua namweleza walichonojibu niliporipoti ndani ya hizo saa 24.
Wateja wenzagu wa Vodacom huu ni wizi kuna watu wanacheza na hela zetu tutafute namna ya kulifanya jambo hili public mimi nimeliwa 2000 mwingne akiibiwa 1000 mwingne 500 tukiwa watu 50,000 kwa siku tunawafaidisha hawa watu kwa jasho letu. Lets SHARE how to END this.
 
Acha kusema 500 au 1000 we sema wakichukuwa senti hamsini kwa wateja wao kama milioni 2 tu

2,000,000 X 0.50 inakuwa 1,000,000 sasa fanya hivyo kila mwezi 30,000,000
utajuwa wezi wa vihela vidogovidogo kuanzia hawa mitandao ya simu hadi mabenki wanavyoiba
 
Acha kusema 500 au 1000 we sema wakichukuwa senti hamsini kwa wateja wao kama milioni 2 tu

2,000,000 X 0.50 inakuwa 1,000,000 sasa fanya hivyo kila mwezi 30,000,000
utajuwa wezi wa vihela vidogovidogo kuanzia hawa mitandao ya simu hadi mabenki wanavyoiba

Umenena mkuu mi for sure am looking for possible ways za kulifanya hili jambo PUBLIC manake huyo mtu wa Customer care it ws like namsumbua na kashida kangu ka hela ndogo sasa huu ni upumbavu istoshe hiyo cm ya msaada bado wanakukata Tsh. 100 na bado makosa ni yao then wanajitangaza nchi nzima wao ndo bora THIS IS NONSENSE..!!!!!!
 
Kweli kabisa , hawa jamaa wa mitandao hasa hawa voda usipokuwa makini wanakuliza machozi , wizi umekithiri pia hata ukinunua umeme wa luku kwa kutumia voda M-PESA wanakudanganya kwa sms kuwa eti wamekuzawaidia muda wa maongezi wa sh.1,000. kumbe uongo mtupu na ukisema upige simu kwa kutumia hizo pesa walizokupa unaambiwa hapo hapo kuwa hauna salio la kutosha kukuwezesha kupiga simu. yaani huwa naona kinyaa na kichefu chefu nikinunua umeme wa luku kisha voda wanitumie sms ya muda hewa wa bure.
 
Nafikiri njia ya kwanza ni kuwaambia kupitia facebook page yao then nikutafuta mwandishi baada ya kua na uthibitisho wote iandikwe kama habari ya malalamiko ya wateja. Hawa jamaa wanatengeneza faida kubwa kwa wizi halafu ukiskia hiyo hela wanayo walipa wale customer care inaskitisha sana.
 
Kweli kabisa , hawa jamaa wa mitandao hasa hawa voda usipokuwa makini wanakuliza machozi , wizi umekithiri pia hata ukinunua umeme wa luku kwa kutumia voda M-PESA wanakudanganya kwa sms kuwa eti wamekuzawaidia muda wa maongezi wa sh.1,000. kumbe uongo mtupu na ukisema upige simu kwa kutumia hizo pesa walizokupa unaambiwa hapo hapo kuwa hauna salio la kutosha kukuwezesha kupiga simu. yaani huwa naona kinyaa na kichefu chefu nikinunua umeme wa luku kisha voda wanitumie sms ya muda hewa wa bure.

Yaani katika vitu vinavyonichefuaga sana ni hiyo 1,000/= ya uongo unayopewa hewa baada ya kununua umeme kwa mpesa!!! sijui vodacom kwa nini voda wanatufanya wateja kama toys? naungana na ninyi hawa Voda kwa sasa wanaenda kubaya!
 
Ndugu zangu hayo yote mliyofanyiwa is more than too much kweli nawaambia we can do something na unakuta wakati mwingine ni kamchezo ka watu kadhaa tu.
 
Acha kusema 500 au 1000 we sema wakichukuwa senti hamsini kwa wateja wao kama milioni 2 tu

2,000,000 X 0.50 inakuwa 1,000,000 sasa fanya hivyo kila mwezi 30,000,000
utajuwa wezi wa vihela vidogovidogo kuanzia hawa mitandao ya simu hadi mabenki wanavyoiba

Mkuu, pengine mimi nilipaswa kuanzisha thread mpya juu ya wizi wa namna hii kwa TRA kitengo cha road licence lakini kwasababu aina ya wizi vinafanana niwatonye tu kuwa hata TRA kuna wizi kama huu wa voda. TRA wanachofanya, ukienda kulipia road licence, kiasi kile unacholipa benki sicho hicho unachoandikiwa kwenye risiti unayopewa wakati unachukua stika. Mimi nililipa sh.180,000 lkn siku naenda kuchukua road licence yangu wakawa wameniandikia sh.120,000 na gari yangu wameishusha cc kama ya bajaji, Mungu wangu! Nilihoji kwanini imekuwa hivo lkn afisa anayehusika alionekana kubabaika na kuniambia ni bahati mbaya imetokea labda abadili aandike kwa mkono. Nikamuuliza kama kuandika kwa mkono ni utaratibu akachanganyikiwa zaidi.
Nipo safari nikirudi nitaangalia kama nitaweza kufuatilia maana inaweza kula muda wangu na huenda ni genge kubwa ambalo hata wakubwa wamo nikaishia kuingia gharama zaidi. Naomba mtakaosoma hii thread mhakiki vizuri ile kopi inayobaki unapokata road licence ili uone kama pesa ulolipa ndo iloandikwa hapo maana pia huandikwa kwa maandishi madogo sana.
Mimi walikwapua 60k, wakifanya hivyo kwa watu 100 kwa siku halafu kwa mwezi ni hela ndefu sana halafu tunashangaa mahekalu yanayoota kama uyoga kila siku. Hii ndo Bongo; I love my country!
 
Mkuu, pengine mimi nilipaswa kuanzisha thread mpya juu ya wizi wa namna hii kwa TRA kitengo cha road licence lakini kwasababu aina ya wizi vinafanana niwatonye tu kuwa hata TRA kuna wizi kama huu wa voda. TRA wanachofanya, ukienda kulipia road licence, kiasi kile unacholipa benki sicho hicho unachoandikiwa kwenye risiti unayopewa wakati unachukua stika. Mimi nililipa sh.180,000 lkn siku naenda kuchukua road licence yangu wakawa wameniandikia sh.120,000 na gari yangu wameishusha cc kama ya bajaji, Mungu wangu! Nilihoji kwanini imekuwa hivo lkn afisa anayehusika alionekana kubabaika na kuniambia ni bahati mbaya imetokea labda abadili aandike kwa mkono. Nikamuuliza kama kuandika kwa mkono ni utaratibu akachanganyikiwa zaidi.
Nipo safari nikirudi nitaangalia kama nitaweza kufuatilia maana inaweza kula muda wangu na huenda ni genge kubwa ambalo hata wakubwa wamo nikaishia kuingia gharama zaidi. Naomba mtakaosoma hii thread mhakiki vizuri ile kopi inayobaki unapokata road licence ili uone kama pesa ulolipa ndo iloandikwa hapo maana pia huandikwa kwa maandishi madogo sana.
Mimi walikwapua 60k, wakifanya hivyo kwa watu 100 kwa siku halafu kwa mwezi ni hela ndefu sana halafu tunashangaa mahekalu yanayoota kama uyoga kila siku. Hii ndo Bongo; I love my country!

Duuuh hiyo yako kali zaidi....ila ya kushusha CC nimeona magari mengi kuna jamaa ana Vogue nenda kaangalie CC za Vitz
 
Mtandao nilikukubali sana hapo mwanzo lakini nimekuja kugundua kuwa ni majanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom