Vodacom mmeamua kututapeli au?

Ndenji five

JF-Expert Member
Nov 1, 2021
1,985
3,084
Unanunua kifurushi cha data cha mwezi unapakua nyimbo yenye mb-10.5 matokeo yake unakuja kuuliza salio zimetumika mb100

Hivi huu si utapeli mnautofauti gani na wezi alafu nawapigia mnajibu ooh labda kuna app nyingine inafanya kazi kipindi ww upo mtandaoni inamaana simu yangu mnaijua sana kushinda mm niliyoinunua

Lengo lenu ni nini hasa kiishe haraka tununue kingine au mbona mna akili mgando kiasi hicho

Na nyinyi tcra mnafanya kaz gani mbona siwaelewi mkiulizwa ooh tunayafanyia kazi sasa mnayafanyia kazi gani au mna shared ya huo utapeli

Vodacom badilikeni tumewachoka sio hadi msimamiwe mlianzisha biashara ili mpate tupate sasa hizi tabia za utapeli hizi sizo

Tabia ya kupangiana matumizi pesa ya mtu hatutaki kama mmechoka kutoa huduma mtuambie tujue
 
Unanunua kifurushi cha data cha mwezi unapakua nyimbo yenye mb-10.5 matokeo yake unakuja kuuliza salio zimetumika mb100

Hivi huu si utapeli mnautofauti gani na wezi alafu nawapigia mnajibu ooh labda kuna app nyingine inafanya kazi kipindi ww upo mtandaoni inamaana simu yangu mnaijua sana kushinda mm niliyoinunua

Lengo lenu ni nini hasa kiishe haraka tununue kingine au mbona mna akili mgando kiasi hicho

Na nyinyi tcra mnafanya kaz gani mbona siwaelewi mkiulizwa ooh tunayafanyia kazi sasa mnayafanyia kazi gani au mna shared ya huo utapeli

Vodacom badilikeni tumewachoka sio hadi msimamiwe mlianzisha biashara ili mpate tupate sasa hizi tabia za utapeli hizi sizo

Tabia ya kupangiana matumizi pesa ya mtu hatutaki kama mmechoka kutoa huduma mtuambie tujue
Ndugu mteja Ahsante kwa kuuliza maswali na kujijibu mwenyewe!.

Vodacom kazi ni kwako kumradhi kazi iendelee.
 
Unanunua kifurushi cha data cha mwezi unapakua nyimbo yenye mb-10.5 matokeo yake unakuja kuuliza salio zimetumika mb100

Hivi huu si utapeli mnautofauti gani na wezi alafu nawapigia mnajibu ooh labda kuna app nyingine inafanya kazi kipindi ww upo mtandaoni inamaana simu yangu mnaijua sana kushinda mm niliyoinunua

Lengo lenu ni nini hasa kiishe haraka tununue kingine au mbona mna akili mgando kiasi hicho

Na nyinyi tcra mnafanya kaz gani mbona siwaelewi mkiulizwa ooh tunayafanyia kazi sasa mnayafanyia kazi gani au mna shared ya huo utapeli

Vodacom badilikeni tumewachoka sio hadi msimamiwe mlianzisha biashara ili mpate tupate sasa hizi tabia za utapeli hizi sizo

Tabia ya kupangiana matumizi pesa ya mtu hatutaki kama mmechoka kutoa huduma mtuambie tujue
hama tuachie mtandao wetu supa. ni mtandao bora kabisa tanzania
 
Kaka jichunguze kwanza. Hakuna Data kuibiwa. kunakitu kimefanyika ambacho hujakijua bado. nani akuibie data?
Kama hayajakukuta nyamaza, mie mwenyewe nishawi wafuata mpaka ofisini kwao wakaanza kutizama hakuna walichoona kinakula MB haraka yaani unanunua GB 1 unafungua what's app sms masaa mawili kimeisha kifurushi cha wiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umechguza matumuzi madogo madogo ya data kama mleta uzi?

Mfano: clip ya mb 10, ukiidownlod unakuta mb 100 zimeyeyuka!

Wizi mdogo mdogo wa hivyo, hadi uamue kuchunguza na kufuatilia haswa, vinginevyo ni ngumu sana kuugundua!
Sio mtu wa kushusha vitu mara kwa mara ila plan yangu kwa siku ni mb 100 na nazitumia na kubaki kwa kutwa mzima, WhatsApp call napiga pia.
 
Haki ya nani voda ni wezi! Yaani GB yao 1 ya wiki haimalizi hata siku 2 kudadek.... Kwisha! Eti kwa kuingia tu JF na kusoma sms za whatsapp!!

Kinacho niuma ni kitu kimoja tu! Pamoja na wizi wao wote huu wa mchana kweupe! Siwezi kuwakimbia. Sijui wamenipa limbwata hawa washenzi!!
 
Unanunua kifurushi cha data cha mwezi unapakua nyimbo yenye mb-10.5 matokeo yake unakuja kuuliza salio zimetumika mb100

Hivi huu si utapeli mnautofauti gani na wezi alafu nawapigia mnajibu ooh labda kuna app nyingine inafanya kazi kipindi ww upo mtandaoni inamaana simu yangu mnaijua sana kushinda mm niliyoinunua

Lengo lenu ni nini hasa kiishe haraka tununue kingine au mbona mna akili mgando kiasi hicho

Na nyinyi tcra mnafanya kaz gani mbona siwaelewi mkiulizwa ooh tunayafanyia kazi sasa mnayafanyia kazi gani au mna shared ya huo utapeli

Vodacom badilikeni tumewachoka sio hadi msimamiwe mlianzisha biashara ili mpate tupate sasa hizi tabia za utapeli hizi sizo

Tabia ya kupangiana matumizi pesa ya mtu hatutaki kama mmechoka kutoa huduma mtuambie tujue
Mostly files are downloaded via TCP (Transmission Control Protocol). If you study how it works you will definitely get an answer.
When transferring data over TCP, 2 end stations should connect to each other via 3 way handshake. Which is
Syn (request) eg. May I connect you
Syn-ack (request accepted) eg. Yes you can connect
Con (connect) eg. Ok connected now send me my requested data
(now whole data is transferred) eg. Your file starts downloading
At 4th stage, data is transfered through packets which had various section and these contain some information about packet itself and data. Sometimes packets are rejected from receiver, requiring sender to resend which uses more data and increase your charges. Most of the time packets are rejected due to length variations like packets says my size should be 16 bytes but is 15 bytes so the packet is rejected. This information is included in section of packet. Sometimes mostly rare their can be less TTL value which is time to live and receiver's router rejects this packet if it is expired.
 
Back
Top Bottom