Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
yawezekana staff wa voda wana nyodo
nimesikia leo asubuhi
Kwa hiyo Hardbody na A/C vilikukuwa vinakuumiza sana? Nyie ndio mnaliwa tigo kwa uroho wa pilau
Ameedit baada ya kuona anashambuliwa kwa kuweka hadharani furaha aliyonayo kwa kuona rafiki yake anapoteza ajiralakini mbona hii thread does not make sense?
nimesikia leo asubuhi
Last edited by mkonowapaka; Yesterday at 16:32.
mi nafikili si vema kufurahia matatizo yanapo mfika mtu bila kujali ni ndugu,kabila,rafiki, au jirani.kumbuka nyumba ya mtu inapoungua jirani yako,ukawa mstari wa mbele kumcheka unafikilia atalala wapi?jibu ni kwa yule amabaye hajaunguli,..nani.....wewe unaye cheka
kuwa na aibu au hofu ya mungu na mungu atakubaliki na kukujaza neema
nimesikia leo asubuhi
mkonowapaka said:By mkonowapaka :
leo asubuhi napata message jamaa ananipa hai.. tena kw anamba yake ya zamani
baadae tena kwa aibu ananiulizia kama kuna nafasi ya kazi hapa nilipo... .... .... ... ..yupo siriaz
akaniambia VodaCom watu ni roho juu muda wowote Mh Meza Rene anapiga watu chini tena style
ya kumuua nyani... ..
maskini jamaa alishaukwaa umeneja sjui wa vocha za nini... .ndo kushney na anajua atapunguzwa!!
karibuni saana mtaani na wale mliokuwa tinted full AC kitu cha hardbody mnaliajee?
nway poleni sana
Sasa akikuta umetundika hii post humu atakuelewaje?
Marafiki kama ninyi sio kabisa! Wakati mwenzio ana matatizo kwenu ninyi ni furaha. Hata kama kaukwaa umeneja wa voucher ...naye si anaingiza kipato kinachomuwezesha kukidhi mahitaji?
Hii ndo jamii forums ukirusha kitu ndani ya sekunde watu washacopy pamoja na ku edit bado mtoa uzi ni nyoka kabisa unafurahia mwenzako kupotea ajira mmmhh we si unaweza kuweka hata sumu kwenye kinywaji chake
Ameedit baada ya kuona anashambuliwa kwa kuweka hadharani furaha aliyonayo kwa kuona rafiki yake anapoteza ajira
Basi huyu ndugu hafai hata kidogo and I pray rafiki yake analigundua hilo mapema ili avunje huo urafiki wa mashaka!
Kwa hiyo Hardbody na A/C vilikukuwa vinakuumiza sana? Nyie ndio mnaliwa tigo kwa uroho wa pilau