mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Wakuu niko kikazi geita toka last week! kuanzia jana hadi leo kamodem kangu hakapati network, nikajaribu kuingia kwa handset voda internet hakuna kitu. Wenyeji wanasema sometimes hata mtando wa voice na sms unaweza potea kwa masaa kadhaa, wamenishauri nihamie airtel. voda vipi au ndio dalili ya mvua mawingu tujuzeni mapema ban tujipange.