Vodacom, Airtel Price hike?

Highlander

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
3,093
1,075
Nimekatwa MB 100 katika Dakika 30 kwenye Voda bila Ku-download kitu chochote na settings zangu za auto updates ziko Off. Is Vodacom stealing from Me today? Jana Airltel walikata 120 MB in three Minites, nilipiga simu Customer service wakasema watanitumia sms kueleza tatizo hawajatuma.

Mbona nahisi naibiwa? Wenzangu naomba ushauri. Hoja ya Downloading Futa kabisa. Hakuna kitu kinakuwa downloaded.

Vodacom na Airtel wameanza wizi au?
 
Makampuni YOTE YA SIMU NI WEZI, wanatuibia wateja bando za internet, muda wa maongezi na hata idadi ya SMS. Ni WEZI KABISA.

Mwaka 1992 nilikuwapo katika kampeni ya kuanzisha Consumer Protection movement. It was private sector initiative. Baadae Serikali iliingilia kati kwa mbinu fulani movement ile ikawa ishu ya Kiserikali na hakuna Consumer Protection hapa. Hawa wanatakiwa wapate kichapo fulani.

One way would be to ask TTCL to lower prices tuhamie kule.

Tatizo nao TTCL hawana akili ya kibiashara kabisa. They could push prices down wakategemea volumes katika economies of scale hawa wezi tuwatie adabu
 
Wizi mkubwa mitandao ya cmu za mkononi, unaweza kujiunga na kifurushi alafu baada ya mudafupi kabla hata ya kupiga cm wala sms wala internet lakin ukajikuta huna hata kimoja na salio la vocha nalo halipo! kilichotokea nikwamba wanakata salio lako na kukutumia sms ya kukudhibitishia kua umenunua kifurushi, kumbe hata hujapewa kile kifurushi! pengine haya ni makosa ya kiufundi lakin mbona hata hawarudishi pesa zetu hata pale tunapopiga cm huduma kwa mteja?

Ukifanya malipo kwa m pesa na ikatokea tatizo kwenye mtandao pesa yako ndo vile tena inapotea!

Sasa hivi mtandao kama voda umekua mzigo sana kwa wateja wake, kila cku matatizo mara cm hazipatikan japokua inaonyesha mtandao upo na wakati mwingine sms ya jana unaipokea leo nam yako ipo hewab masaa 24.

KIKUBWA ZAIDI
Serikali imetoa agizo kua gharama za kupiga cm nje ya mtandao ni Tzs.34 kiwango cha juu kabisa! leo kinachoendelea nitofauti kabisa, eti ili uupige cm kwa bei ya 34 kwa dakika inabidi unubue kifurushi cha 350 tsh. Upate dakika 10 kwa maana nyingine lile agizo kwetu imekua kama msaada ambao masharti yake nikwamba lazima uwe na salio lisilopungua 350 ambalo utalitumia ndani yz masaa 24! kwakweli huu nao ni wizi, kwanini inolazimishe kutumia 350 kwa cku, kinachotakiwa ni kuweza kutumia tzs 34 kila unapopiga cm kwa dakika 1 halafu kama wameamua kutoz offa kwa wateja basi iwe chini ya 34 kwa kilz dakka vinginevyo watakua wanatukaanga kwa mafuta yetu wenyewe!
 
Hivi kweli mamlaka ya mawasiliano hawalijui hili? Nadhani wamenyamaza kimya tu kwa malengo yao binafsi ya kunufaika toka makampuni hayo ya simu
 
Nimekatwa MB 100 katika Dakika 30 kwenye Voda bila Ku-download kitu chochote na settings zangu za auto updates ziko Off. Is Vodacom stealing from Me today? Jana Airltel walikata 120 MB in three Minites, nilipiga simu Customer service wakasema watanitumia sms kueleza tatizo hawajatuma.

Mbona nahisi naibiwa? Wenzangu naomba ushauri. Hoja ya Downloading Futa kabisa. Hakuna kitu kinakuwa downloaded.

Vodacom na Airtel wameanza wizi au?

TIGO "KABANG is 2nd to NONE tshs 9,000 siku 7 hamia huko
 
Last edited by a moderator:
TIGO "KABANG is 2nd to NONE tshs 9,000 siku 7 hamia huko

eneo ninaloishi network ya tigo haijatulia. lakini pia Tsh. 9,000 kwa wiki manake 36,000 kwa mwezi. Airtel wapo chini kwa mwezi. Sema huu upuuzi wa kuiba MB ndio tatizo ambalo wamekuja nalo sasa. Voda ni 40,000 kwa mwezi.

TTCL ndiye angekuwa mkombozi lakini hayupo aggressive katika marketing na stretegy zake kama hawa wezi ambao wanatumia kitu kinaitwa Deceptive Advertising kuvuta watu, halaf wanawaibia.
 
Wakuu WKing Kong III, Ctr , dafity , snail , ndetichia , Watu ukweli mi naona kama hili jambo linatoa nafasi ya kampuni ya TTCL kutake advantage. Kuna disappointments. Washushe bei na kuweka viwango tufanye kama vile vinavyotangazwa na hawa wezi lakini wastick to their commitment badala ya kutangaza kitu kimoja na kufanya kitu tofauti kwa hila.

Hila katika biashara uliyotangaza ni deceptive advertising, na mi naona kama vile ni jinai fulani hivi. Nyie mnaonaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom