Ama kwa hakika aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pakajimmy huku uswazi ndiko wakoambulia vumbi la EPA na ndugu zao kiasi hawana uchaguzi wa mtandao aupendao anategemea ni mtandao gani umembeep then anabadili line ilimradi awasiliane na aliyembeep.Si kwamba wanapenda hali hiyo ni maisha yamewapiga wamepigika kisawa sawa. Na tuombe wenye upendo wa kweli wawaondolee balaa hili
Tigo nasikia inalinganishwa na ile nanihii..
Lakini kuhusu voda sijui ni kitu gani ndio maana siona hata kama kuna matusi kiasi cha wimbo huo upigwe marufuku kusikika maredioni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.