Viwanja vya ndege migodini vyatumika kutorosha madini- Kamati ya bunge yafichua

Siyo kulaumu wawekezaji, kuna kampuni ya ukaguzi wa madini enzi zile ikiitwa stewart assayer na sasa TMAA, wanakagua uzalishaji wote na kabla mzigo haujatoka site, TRA huwa wanakuja kufanya auditing na kujiridhisha kweli kila kitu ni sawa , sasa tatizo ni baadhi ya wabunge wetu ( wanasiasa ) kama Steiven Masele ambaye hata hajui anachoongea , kafumu anazungumzia kitaalamu, masele anajibu kisiasa fani ambay hata haijui shame to you, pia unaleta mzanzibar kuwa mjumbe kwenye hii bodi ambaye hata uwezo wake wa kufikiria ni mdogo na anawakilisha watu waziozidi elf tatu ambao karibu wote ni wavuvi , hawezi toa hoja dhaifu kiasi hicho, labda iwe TMAAna TRA hatuwaamini ndiyo hao watu wawe wanatorosha mali, kwa watu makni na wabunge makini you cannot just shout bila kujua basis ya unachokisema kama masele ambaye in fact hata ubunge hakushinda maana hana uwezo wa kufikiri zaidi tu ya kubebwa na mafisadi ambao lengo lao ilkuwa ni kufukuza kamouni zote za kigeni na Caspian ya Rostam aziz ichimbe madini nchini , bashe na masele wangekuwa maafisa wakuu kwenye kampuni hiyo
 
Mpaka leo sijaona umuhimu wa madini kuwepo Tanzania...matatizo tunayo sisi watanzania kwakushindwa kuwawajibisha watu tuliowapa dhamana ya kusimamia rasilimali zetu..
 
Msilaumu wakati hakuna barabara za kwenda huko. Hao wabungu kable ya kufunga viwanja wajenge barabara!. Huwezi kumwambia investor huturuhusu viwanja wakati hata barabara huna!!
Sasa hao wawekezaji kama wao hawakujenga barabara za kwenda huko tutafaidi nini kwao? Yaani watupe mrahaba kidogo na tuwajengee na barabara? Hiyo ndio akili kweli? Kama wameweza kujenga viwanja vya ndege Barabara pia wajenge wao!
 
Siyo kulaumu wawekezaji, kuna kampuni ya ukaguzi wa madini enzi zile ikiitwa stewart assayer na sasa TMAA, wanakagua uzalishaji wote na kabla mzigo haujatoka site, TRA huwa wanakuja kufanya auditing na kujiridhisha kweli kila kitu ni sawa , sasa tatizo ni baadhi ya wabunge wetu ( wanasiasa ) kama Steiven Masele ambaye hata hajui anachoongea , kafumu anazungumzia kitaalamu, masele anajibu kisiasa fani ambay hata haijui shame to you, pia unaleta mzanzibar kuwa mjumbe kwenye hii bodi ambaye hata uwezo wake wa kufikiria ni mdogo na anawakilisha watu waziozidi elf tatu ambao karibu wote ni wavuvi , hawezi toa hoja dhaifu kiasi hicho, labda iwe TMAAna TRA hatuwaamini ndiyo hao watu wawe wanatorosha mali, kwa watu makni na wabunge makini you cannot just shout bila kujua basis ya unachokisema kama masele ambaye in fact hata ubunge hakushinda maana hana uwezo wa kufikiri zaidi tu ya kubebwa na mafisadi ambao lengo lao ilkuwa ni kufukuza kamouni zote za kigeni na Caspian ya Rostam aziz ichimbe madini nchini , bashe na masele wangekuwa maafisa wakuu kwenye kampuni hiyo
Unadhani hivyo mkubwa?
 
Kazi ya kuwa na radar ghali kama hii ya kwetu ni nini? Au bado ni mbovu? Kwa kifupi ni lazima tuwe na mfumo mzuri wa traffic katika anga yetu na hapa ndio mamlaka ya usafiri wa anga inakuja na pia ile radar tuliyoishupalia. Air traffic lazima iwe monitored kote maana kila chombo kirukacho kila namba za usajili na kibali cha kifanya hivyo. Sitaki kuamini ya kwamba tunaruhusu tu ndege kuruka nje au kutua kutoka nje bila ya taratibu husika ambazo ni lazima zijumuishe ukaguzi
 
huyo kamishina ni muongo sana,nimefanya kazi kahama minning corporation ltd,dhahabu ilikuwa inapakiwa kwenye ndege ndogo inayotua kwenye uwanja uliopo mgodini under escort ya polisi na security waliopo mgodini,atueleze hiyo dhahabu inatokaje mgodini hadi KIA au JNIA ni msanii sana huyo kamishna hana lolote ni mchumia tumbo tu
 
Back
Top Bottom