Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Wataalamu wanasema mawili....
1..aidha madaktari wanafunzi ambao wanajifunza zaidi kuhusu maiti ndio wamemeliza masomo yao now ndo wanazitupa

2..mpango wa kubadilishana maiti kwa ajili ya kujifunza....hivo mafunzo yameisha na wamezitupa.

Swali...
nimeenda kuzishuhudia ni nyingi sana, halafu ni vipande vipande, kuna zinazovuja damu, kuna zilizokauka, kuna zilizochunwa ngozi.
Dereva aliyekuwa anaendesha hiyo Hilux amekamatwa yuko police Bunju A.....wananchi wamekizingira kituo wanataka wamuue dereva aliyetumwa kazi hiyo ya kumwaga mabaki ya miili.
Bunju hali sasa si shwari, risasi zinapigwa, watu wamebeba silaha za jadi wanataka kubomoa kituo ili wamuue dereva.
Picha na video ninazo ila niko mbali na laptop.

Mkuu nakula bia hapa delighton jirani na kituo cha polisi bunju A na nipo na baadhi ya maafande wa pale....Bunju pako shwari kabisa.....mimi mwenyewe napata news hapa JF
 
Daah sasa hawa wananchi wakimuua huyo dereva tutawajuaje wahusika. Inabidi polisi wafanye kazi yao hadi wahusika kamili wapatikane. Huyo dereva ni mtumwa tu

Wameenda mpaka hiyo nyumba waliyohifadhia hizo maiti, watu wamesepa.
Ila inawezekana zimetoka Hospitali
 
Mkuu nakula bia hapa delighton jirani na kituo cha polisi bunju A na nipo na baadhi ya maafande wa pale....Bunju pako shwari kabisa.....mimi mwenyewe napata news hapa JF

Mie nikitoka hisaje niende bunju na mabwepande nika confirm hii habari.
 
Du its very sad!!! Usalama wa Taifa, polisi amkeni jamani acheni kuliwazwa na nyimbo za Amani na hello hello Tanzania. :A S-eek::A S-eek:
uhafadhi wa maiti katika mifuko namna hii inaonesha wazi its a plaaned execution::::
 
jamani mm ninazo picha hapa nimetumiwa plz nipo nakisimu Ku upload ni shida kidogo mwenye namba ya anistue nimtumie namba yangu ni 0717 228064
ili aziupload hapa jamvini zinatisha nakusikitisha nimeshindwa kuamini kama bongo tumefikia unyama huu
 
Back
Top Bottom