Mbona kama kuna gloves za hospitalini kwenye hivyo vifurushi
kwahiyo akili zako zinakutuma humu member wote wa jf wapo Tanzania?
mimi niko Pyongyang, North korea, only jf ndio chombo changu cha kupata habari za nyumbani.
Kukaa simanjiro haina maana usiijue bunju.
Mi mbona nakaa Simanjiro na hadi Magwepande napafahamu ingawa sijang'olewa kucha.
kwahiyo akili zako zinakutuma humu member wote wa jf wapo Tanzania?
mimi niko Pyongyang, North korea, only jf ndio chombo changu cha kupata habari za nyumbani.
Kwa haraka haraka as if, Vimetoka shule za ma DR wanaojifuza
Si kweli!
nilikuwepo eneo la tukio nawaletea picha punde hivi
Wataalamu wanasema mawili....
1..aidha madaktari wanafunzi ambao wanajifunza zaidi kuhusu maiti ndio wamemeliza masomo yao now ndo wanazitupa
2..mpango wa kubadilishana maiti kwa ajili ya kujifunza....hivo mafunzo yameisha na wamezitupa.
Swali...
nimeenda kuzishuhudia ni nyingi sana, halafu ni vipande vipande, kuna zinazovuja damu, kuna zilizokauka, kuna zilizochunwa ngozi.
Dereva aliyekuwa anaendesha hiyo Hilux amekamatwa yuko police Bunju A.....wananchi wamekizingira kituo wanataka wamuue dereva aliyetumwa kazi hiyo ya kumwaga mabaki ya miili.
Bunju hali sasa si shwari, risasi zinapigwa, watu wamebeba silaha za jadi wanataka kubomoa kituo ili wamuue dereva.
Picha na video ninazo ila niko mbali na laptop.