badshah
Member
- Mar 16, 2013
- 51
- 32
Siku hizi matusi yamekuwa ni viunganishi, vivumishi na vihisishi katika Lugha ya kiswahili. Angalia sentensi hizi hapa chini:
1. Dah yaani we ni Mxx..nn..zz!! ile mbaya umeweza kuruka pale!!!
2. nilipomuona tu! K..um..@ ni..n@ nikarudi haraka sana.
3. wakati wanapigana pale yaani we acha tu Ms...£ng..£ akarusha ngumi ikampata ya uso.
1. Dah yaani we ni Mxx..nn..zz!! ile mbaya umeweza kuruka pale!!!
2. nilipomuona tu! K..um..@ ni..n@ nikarudi haraka sana.
3. wakati wanapigana pale yaani we acha tu Ms...£ng..£ akarusha ngumi ikampata ya uso.