Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
Vinahifadhika mpaka miezi mitano. Kwa mfano Karatu ikifika mwezi wa Kumi wanaweka ghalani mpaka mwezi wa pili mwaka unaofuata ndipo wanaviuza...............Ila ujaribu kutengeneza ghala linalopitisha hewa vizuri na liwe kavu lili visioze ingawa hupungua uzito kiasi (lakini kwa soko la Kenya ndiyo huzingatia uzito).......Nazitafuta picha zinazoonyesha ghala lilivyo zikipatikana nitakutumia kwa PM (na ghala lenyewe linatengenezwa kwa mabanzi, miti na kuezekwa kwa nyasi) na hii ni Karatu ndiyo wanafanya kwa sababu wana uzalishaji mkubwa.
Kuhusu huyo mkulima huyo yupo wilaya ya Iramba kiijiji cha Mwanga.............unapitia njia ya kinampanda na kupita barabara inayoenda Hydom..........Naiangalia namba yake nitakutumia PM
Nashukuru kwa Ushauri mkuu be blessed I will check with you once I encounter any hurdle