@Noname ku resign on her b1/2 hahaaaaa lol!!! safi sana!!!
atawahi, abaki kuugulia tu basi
Gaijin haya bana...ila mie lazima assign kwaza postdated chequesmie niko radhi aniwachishe kazi ............as long as ananilipa mshahara kama ule ninaopewa kazini mwisho wa mwezi! holla
Sis duniani hapa kuna mengi sana hatuyajui we acha tu... Life has many surprises!!!mie naona anae taka kukuachisha kazi anataka kukukomesha wala hakuna sababu ingine... utakomaje? :mmph:
Gaijin haya bana...ila mie lazima assign kwaza postdated cheques
mie niko radhi aniwachishe kazi ............as long as ananilipa mshahara kama ule ninaopewa kazini mwisho wa mwezi! holla
hapo sasa kesha kupata hhaha u cant trust 'em....ukikubali ni sawa na kusign blank cheque lol.
Naona wabeijing hapa mmepatia sehemu ya kusemea yaani mmeacha tatizo la msingi la bwana KakaKiiza mmegotea kwenye kuachishwa kazi. Kimsingi kumuachisha mwenzio kitu chochote achilia mbali kazi bila ridhaa yake si jambo la busara lakini hebu basi tumshauri huyu bwana especially ninyi ambao mnashikia bango na wazo lake la kumuachisha mkewe kazi na si wengine bali ni Nyamayao, bht na carmel. I wonder WoS na MJ1 sijawasoma kabisa hapa leo maana najua wakiingia hapa........mtamalizia wenyewe.
Naona wabeijing hapa mmepatia sehemu ya kusemea yaani mmeacha tatizo la msingi la bwana KakaKiiza mmegotea kwenye kuachishwa kazi. Kimsingi kumuachisha mwenzio kitu chochote achilia mbali kazi bila ridhaa yake si jambo la busara lakini hebu basi tumshauri huyu bwana especially ninyi ambao mnashikia bango na wazo lake la kumuachisha mkewe kazi na si wengine bali ni Nyamayao, bht na carmel. I wonder WoS na MJ1 sijawasoma kabisa hapa leo maana najua wakiingia hapa........mtamalizia wenyewe.
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!
atakulipa hadi lini kumbuka kuna kufulia na kifo, mojawapo likitokea utajuta sana kwa uamuzi wako wa kuacha kazi
Ndiyo tatizo lao Wabeijing. Wameacha kujadili tatizo lilikuwepo la mke kubania mshahara wake na wameshikia bango kitu ambacho kwa sasa hakipo cha kumuachisha kazi ambacho kinaweza kisitokee.
...pole sana kka. Mbona tu wengi tu yanayotukumba hayo?!...vumilia tu, si unakumbuka kiapo ulichokula iwe ni mbele ya kasisi au sheikh?...kumbuka, ni wewe mwenyewe ulipeleka posa kwao, ukaambiwa na mahari ukapeleka, siku ya ndoa ukaapa kwa viapo vyote utamtunza, utampenda na utamhudumia kwa kila kitu.