Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,619
Ukifika board ya mikopo kwa lengo la kurejesha form zako/za ndugu/jamaa/rafiki/mpenzi wako utakura rundo la watumishi wa board hiyo wakiwa chini ya vivuli kuhudumia wateja (warejesha form) kwa lengo la kuondoa msongamano (nawapongeza)
Ukishapokelewa wanaitazama form yako, wanaangalia attachments na sehemu zinazopaswa kugongwa mihuri ya mahakama.
Cheti chako cha kuzaliwa kipo (kina mhuri wa mahakama)
Vyeti vya sekondari/diploma vipo (navyo vimegongwa mhuri wa mahakama)
Form zako zina mhuri na kila kitu hadi serikali za mitaa wamepitisha
Watakuuliza affidavit ya babako na mamako vipo wapi? Utajibu sina (kama huna), watakuambia kavifuate.
Ukiileta, (tufanye ni kesho yake) watakuuuliza tena mbona hujaleta copy ya kikadi cha kupigia kura cha wazazi? Utakimbizana, utaleta copy zake...sasa itokee katika viambatanisho hivyo ukajisahau kugonga mhuri wa mahakama....
Watakujibu...nenda nje ya geti yupo wakili. Lengo letu ni kuthibitisha kama wewe ni Raia wa Tanzania.
Wakili anaitwa Nanyaro.....kila karatasi ni shilingi 6000/= ikipungua sana (discount iwapo una karatasi nyingi) ni shilingi 2500/=
Wakili yule ana certify kabisa kuwa hii ni copy ya original document hata kama original document hujaende nayo......unampa hela yake, risiti hupewi, unaondoka zako unawapelekea karatasi zao wanaridhika kuwa wewe ni Mtanzania.
Inasemekana kuwa wakili huyo ni jamaa wa mkubwa mmoja na kila akipatacho wanagawana na wakubwa wa board.
Utahangaishwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mwishowe unakuja kupata asilimia 30! Sabini, tafuta mwenyewe!
Tanzania ni Tambarareeeeeeee
MZI
Ukishapokelewa wanaitazama form yako, wanaangalia attachments na sehemu zinazopaswa kugongwa mihuri ya mahakama.
Cheti chako cha kuzaliwa kipo (kina mhuri wa mahakama)
Vyeti vya sekondari/diploma vipo (navyo vimegongwa mhuri wa mahakama)
Form zako zina mhuri na kila kitu hadi serikali za mitaa wamepitisha
Watakuuliza affidavit ya babako na mamako vipo wapi? Utajibu sina (kama huna), watakuambia kavifuate.
Ukiileta, (tufanye ni kesho yake) watakuuuliza tena mbona hujaleta copy ya kikadi cha kupigia kura cha wazazi? Utakimbizana, utaleta copy zake...sasa itokee katika viambatanisho hivyo ukajisahau kugonga mhuri wa mahakama....
Watakujibu...nenda nje ya geti yupo wakili. Lengo letu ni kuthibitisha kama wewe ni Raia wa Tanzania.
Wakili anaitwa Nanyaro.....kila karatasi ni shilingi 6000/= ikipungua sana (discount iwapo una karatasi nyingi) ni shilingi 2500/=
Wakili yule ana certify kabisa kuwa hii ni copy ya original document hata kama original document hujaende nayo......unampa hela yake, risiti hupewi, unaondoka zako unawapelekea karatasi zao wanaridhika kuwa wewe ni Mtanzania.
Inasemekana kuwa wakili huyo ni jamaa wa mkubwa mmoja na kila akipatacho wanagawana na wakubwa wa board.
Utahangaishwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mwishowe unakuja kupata asilimia 30! Sabini, tafuta mwenyewe!
Tanzania ni Tambarareeeeeeee
MZI