kalamu ya chuma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 214
- 62
nilikuwa naishi bugarika kipindi hicho na baadae igogo napafahamu sana hapo maana tulikuwa tunapita hapo pembeni mwa kijumba chake na lami iliikwepa hicho kijumba aisee ilishangaza sana sana,ni kweli bibi fisi story zake zinatisha lakn sisi wenyeji tulimzoea kawaida kabisa na wakati tunaenda shule tunapita hapo miaka yote saba jumlisha minne aiseee