HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
Wana JF ningependa sana tujikumbushe mambo yaliyokuwa yanajiri katika kambi za jeshi. Wale waliopitia jeshini, wanajeshi na wanaofahamu vituko vya jeshi watuambie.
Siku moja afande aliwakuta makuruta wakiwa wanapiga stori zao. Afande kwa hasira akawaonyesha kibao na kusema "Arooo hamjui kusoma? hapa pameandikwa NO SMOKING maana yake MSIPIGE KERERE.."
Siku moja afande aliwakuta makuruta wakiwa wanapiga stori zao. Afande kwa hasira akawaonyesha kibao na kusema "Arooo hamjui kusoma? hapa pameandikwa NO SMOKING maana yake MSIPIGE KERERE.."