Vita ya Lissu, Ndugai yakolea

Kwa wale waliofuatia ule mdahalo, tuliona mengi kwa kweli. Miongoni ni kuhusu kupindishwa kwa kanuni pamoja na wabunge wetu kukosa staha na uvumilivu kwa wenzao! Mama mmoja mchangiaji alimshauri Ndugai asipende kushindana na wabunge hasa pale wanapokuja juu dhidi ya jambo fulani, so Ndugai awe mpole. Ushauri ulikuwa mzuri ila wa upendeleo! Lissu nae alitakiwa awe mpole anapochangia hoja. Yeye naye asipende kushindana na wakuu wake, hii italeta ukomavu kiakili na kuokoa upotevu wa muda na hela kama tulivyoshuhudia kikao kilichopita ambapo kikao kiliahirishwa mara kadhaa kutokana na watu kutokuwa wavumilivu. Wao wanafurahi tu, ila sisi tuliowatuma tunateseka kutokana na matendo yao!!
 
Mwandishin amenishangaza sana. Aliyekuwa anatoka nje ya mada ni job, na mara kwa mara masako ndo alikuwa anamrufisha kwenye mada. Tundu alisema wazi kuwa yuko kwa ajili ya kuzungumzia kanuni hayo mambo watafute mda mwingine yupo tayari kuyafafanua kwa kina., mwandishi anameandika habari kama vile kipindi aliangalia peke yake.
 
nimeipata pale kwenye uzi wako, labda modes waliipachika baada ya kuiunga na mada nyingne. check this link

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-lissu-uso-kwa-uso-kwenye-kpima-joto-itv.html

naona na ndugu zako waislam wamendelea kuua mkuu mtoi

Asante kwa link lakini naomba uwe mwangalifu kabla ya kufanya conlusion, hapana popote pale ambapo pamethibitika kwamba ni waislam au wakristo au magaidi au watu binafsi au kikundi fulani ndo kimehusika na mauaji ya huyu kasisi. Ebu tujaribu kutafakari mambo na kutafiti kujua ukweli halisia kabla hatujasema lolote hasa tunapoanza kuwatuhumu wengine- tuwe na uhakika na tuhuma hizo kwanza.
 
Back
Top Bottom