Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,506
- 14,367
Tanganyika hatuhitji siasa za vyama viwili kama kule Zanzibar, huku Tanganyika tunahitaji Demokrasia ya kweli na sio Chadema na CCM peke yao wahodhi siasa za Tanganyika. Big no!
bora umeliona na kuliongea hili mkuu