Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,377
Habari wana JF??
Wewe ni kijana umeoa miaka kadhaa iliyopita na mnaishi mkoa mmoja na wakwezo, umebahatikam kupata mtoto mmoja katika hiyo ndoa yako! Mkeo yupo karibu saaaana na baba yake kiasi kwamba wakati mwingine wanakuvurugia faragha na mkeo maana anamthamini sana baba yake!! Hilo si tatizo kumthamini mzazi ni jambo jema ila imepitiliza kiasi mkweo anaweza kaa kwako hadi saa sita usiku anaongea na baba yake we umelala!!!
Hivi karibuni unapata taarifa kuwa baba mkwe wako anatembea na mwanae (kimapenzi) kwa maslahi ya utajiri wa familia yao, kwamba pindi wanapokutana kimwili utajiri unaongezeka kwa kasi kubwa.
Wewe unajaribu kupata picha ya maisha halisi, wanasafiri wote nje ya nchi kama Nairobi, HongKong, Dubai n.k kuchukua biashara na wanakwenda wawili tu kisingizio mtoto (mkeo) ndiye mhasibu mkuu wa biashara zao! Awali hukuwa na hofu ukijua hapo ni baba na mwana!!
Pili, huyu mtoto umemuoa lakini ishu zake zote za ndani ya ndoa ni kwa baba!! Mfano mkijadili kurekebisha nyumba mtapopata hela utashangaa kesho yake mkweo asubuhi asubuhi yupo hapo kwenu na mafundi wanaelekezwa namna ya kufanya marekebisho. Yaani matatizo yake kifupi hayaji kwako yanaenda kwa baba yake ukimuuliza kwanini kafanya hivyo ni ugomvi na msuluhishi ni baba na anamtetea mwanae kwa kila hali. Magari, anapewa leo hili, akiona kwenye internet jipya kalitaka na anapata bila tabu yoyote toka kwa baba na si wewe na hasa ukizingatia wewe ni mfanyakazi wa serikali unaetegemea mwisho wa mwezi!!!!
Yote tisa, kumi mtoto wako kafanana vibaya mno na babu yake (mkweo) na hana elements zozote kuelekea kwenu, si mbaya ila baada ya kupata taarifa hizi unamwomba mkeo mwende DNA kumpima. Baba mkwe akaja juu vibaya kuwa kama humtaki mwane mwache ye atamlea lakini si kumnyanyasa nyanyasa mtoto na mjukuu wake.
Mwisho ukawabana shemeji zako, ndugu wa mkeo wakakwambia waziwazi kuwa hilo lipo tena kabla ya wewe kumuoa (tangu binti akiwa form two) na ndo maana ndoa yako baba mkwe wako ndiyo anaicontrol na wakisafiri wanalala chumba kimoja kama mke na mume.
Mama mkwe akakwambia waziwazi vumilia tu mwanangu maana mi mwenyewe nilisema nimechoka, nikajiona nitakufa kwa presha bure nimekaa kimya mradi maisha yanasonga sina neno na wewe uwe hivyo hivyo!!!
Kama ndiyo wewe mwana JF utachukua hatua gani za haraka??? Kwa maelezo ya ndugu zao wamethibitisha sasa wewe utege mtego uwafumanie? Ujiondokee?? Au ufanyeje? Na nyumba unayoishi uliijenga wewe ila baada ya kumuoa huyu binti mkweo akaikarabati vikali ikawa nyumba moja nzuri sana!!! Utaiacha au??
Ushauri wana JF
Wewe ni kijana umeoa miaka kadhaa iliyopita na mnaishi mkoa mmoja na wakwezo, umebahatikam kupata mtoto mmoja katika hiyo ndoa yako! Mkeo yupo karibu saaaana na baba yake kiasi kwamba wakati mwingine wanakuvurugia faragha na mkeo maana anamthamini sana baba yake!! Hilo si tatizo kumthamini mzazi ni jambo jema ila imepitiliza kiasi mkweo anaweza kaa kwako hadi saa sita usiku anaongea na baba yake we umelala!!!
Hivi karibuni unapata taarifa kuwa baba mkwe wako anatembea na mwanae (kimapenzi) kwa maslahi ya utajiri wa familia yao, kwamba pindi wanapokutana kimwili utajiri unaongezeka kwa kasi kubwa.
Wewe unajaribu kupata picha ya maisha halisi, wanasafiri wote nje ya nchi kama Nairobi, HongKong, Dubai n.k kuchukua biashara na wanakwenda wawili tu kisingizio mtoto (mkeo) ndiye mhasibu mkuu wa biashara zao! Awali hukuwa na hofu ukijua hapo ni baba na mwana!!
Pili, huyu mtoto umemuoa lakini ishu zake zote za ndani ya ndoa ni kwa baba!! Mfano mkijadili kurekebisha nyumba mtapopata hela utashangaa kesho yake mkweo asubuhi asubuhi yupo hapo kwenu na mafundi wanaelekezwa namna ya kufanya marekebisho. Yaani matatizo yake kifupi hayaji kwako yanaenda kwa baba yake ukimuuliza kwanini kafanya hivyo ni ugomvi na msuluhishi ni baba na anamtetea mwanae kwa kila hali. Magari, anapewa leo hili, akiona kwenye internet jipya kalitaka na anapata bila tabu yoyote toka kwa baba na si wewe na hasa ukizingatia wewe ni mfanyakazi wa serikali unaetegemea mwisho wa mwezi!!!!
Yote tisa, kumi mtoto wako kafanana vibaya mno na babu yake (mkweo) na hana elements zozote kuelekea kwenu, si mbaya ila baada ya kupata taarifa hizi unamwomba mkeo mwende DNA kumpima. Baba mkwe akaja juu vibaya kuwa kama humtaki mwane mwache ye atamlea lakini si kumnyanyasa nyanyasa mtoto na mjukuu wake.
Mwisho ukawabana shemeji zako, ndugu wa mkeo wakakwambia waziwazi kuwa hilo lipo tena kabla ya wewe kumuoa (tangu binti akiwa form two) na ndo maana ndoa yako baba mkwe wako ndiyo anaicontrol na wakisafiri wanalala chumba kimoja kama mke na mume.
Mama mkwe akakwambia waziwazi vumilia tu mwanangu maana mi mwenyewe nilisema nimechoka, nikajiona nitakufa kwa presha bure nimekaa kimya mradi maisha yanasonga sina neno na wewe uwe hivyo hivyo!!!
Kama ndiyo wewe mwana JF utachukua hatua gani za haraka??? Kwa maelezo ya ndugu zao wamethibitisha sasa wewe utege mtego uwafumanie? Ujiondokee?? Au ufanyeje? Na nyumba unayoishi uliijenga wewe ila baada ya kumuoa huyu binti mkweo akaikarabati vikali ikawa nyumba moja nzuri sana!!! Utaiacha au??
Ushauri wana JF