jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,237
- 36,233
Unaweza kujiuliza kama ulaya waliangamiza malaria ya Mbu sisi tunashindwaje?,Malaria ndio ugonjwa unaongoza kwa vifo na tunatumia billions of moneye kunua dawa na vifaa kwa ajili ya Malaria -sasa unajiuliza kwa nini fedha hizo tusizitumie kuua Malaria ya Mbu???
Miradi ya watu hiyo unataka wafe njaa