C chewe92 New Member May 24, 2015 1 0 May 30, 2015 #1 Naomba kujua hivi kidato cha sita wasioona majina yao kwenye kambi yoyote ndio awamu ya pili au majina yote yatatoka kwa maana hakuna awamu mwaka huu? Tusaidiane jameni
Naomba kujua hivi kidato cha sita wasioona majina yao kwenye kambi yoyote ndio awamu ya pili au majina yote yatatoka kwa maana hakuna awamu mwaka huu? Tusaidiane jameni
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,364 94,545 May 30, 2015 #2 We form six, wasiliana na JKT au mkuu wa shule yako atakupa maelezo sahihi
choconorma JF-Expert Member Dec 31, 2013 210 51 May 30, 2015 #3 Hapon m2 mwaka huu awam ya Pili ipooo
ISLETS JF-Expert Member Dec 29, 2012 8,121 5,332 May 31, 2015 #4 we shukura Mungu endelea na mambo mengine. . . awamu ya pili sijui kama itakuwepo hasa nikifikiria mambo ya uchaguzi.
we shukura Mungu endelea na mambo mengine. . . awamu ya pili sijui kama itakuwepo hasa nikifikiria mambo ya uchaguzi.