IFAC
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 3,631
- 9,156
Hizi shaghalabaghala za nchi yetu sijui zinaelekea wapi? Hawatuelezi wamefanya tafiti zipi mpaka walipofikia? Kadri ubora wa elimu unavyoshuka, ndio wanazidi kulegeza vigezo.
Sasa iwe lazima mtu kama hajafika kidato Cha sita asiruhusiwe college au university yoyote ndani ya Tanganyika na watakao soma wasitambulike.
Nawakilisha
Sasa iwe lazima mtu kama hajafika kidato Cha sita asiruhusiwe college au university yoyote ndani ya Tanganyika na watakao soma wasitambulike.
Nawakilisha