Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
4. GENTAMYCINE
Na yeye yuko vizuri kwenye kuchapia kwenye kuandikaHapo anafaa pia cocochanel
Umesahau Tuzo ya Mchawi bora jf..... Hii iende kwa Mshana jr
Gudume... Nampa namba. 8
Nikumbushe nani huyo???Umemsahau yule mwenzie mkuuu
Hivi huyu jamaa kapotelea wapi???
Kweli ww kichwa kichafu... Heri ya mwaka mpya mkuuNipo nahesabu kura hadi sasa nimehesabu 750 zote zimeharibika
JOSEVERESTMbona baadhi ya points ni ngumu kuthibitisha , sheria ya jf inakataza kupost vitu vya uongo half unasema mtu achaghuliwe
Mtu tapeli utathibisha vipi,
Kuna point nyingine ilifaa kuongezwa
25. Mchangiaji wa kwanza aliyetokea kwenye post nyingi nacho ni kipaji
Hana bundleHivi huyu jamaa kapotelea wapi???
Nikumbushe nani huyo???