Mi naona haina shida manake kwani tembo si wapo wengi tuu. Nadhani kama wangekutwa na meno ya binadamu hapo ni sawa wakinyongwa. Acheni wivu mapori yapo mengi na tembo kibao katafuteni wakwenu mchukue meno
Hii inanikumbusha miaka kama 3 nyuma pale Kinondoni block 41, kuna Wachina walikuwa na kiwanda cha kusaga chupa za plastic, alafu ule unga wanausafirisha kwenda China. Mwanzo nilijiuliza maswali kwa nini wanasafirisha unga wa chupa kwenda China, lakini baadaye nilipata jibu baada ya zile tuhuma kuwa kuna viwanda vya kusaga meno ya Tembo.
Wewe unatafuta matusi hapa...kaa kimya :shut-mouth:Mi naona haina shida manake kwani tembo si wapo wengi tuu. Nadhani kama wangekutwa na meno ya binadamu hapo ni sawa wakinyongwa. Acheni wivu mapori yapo mengi na tembo kibao katafuteni wakwenu mchukue meno
c buree utakuwa umelogwaMi naona haina shida manake kwani tembo si wapo wengi tuu. Nadhani kama wangekutwa na meno ya binadamu hapo ni sawa wakinyongwa. Acheni wivu mapori yapo mengi na tembo kibao katafuteni wakwenu mchukue meno
Jamani wana jf wenzangu, siku hizi kuna baadhi ya punguani wamejaliwa uwezo kidogo tu wa kuchangia hoja humu? Kama huyu anatakiwa kudhibitiwa asijetuambukiza uchizi wake!Mi naona haina shida manake kwani tembo si wapo wengi tuu. Nadhani kama wangekutwa na meno ya binadamu hapo ni sawa wakinyongwa. Acheni wivu mapori yapo mengi na tembo kibao katafuteni wakwenu mchukue meno
Mi naona haina shida manake kwani tembo si wapo wengi tuu. Nadhani kama wangekutwa na meno ya binadamu hapo ni sawa wakinyongwa. Acheni wivu mapori yapo mengi na tembo kibao katafuteni wakwenu mchukue meno
Ukiisoma kwa makini comment aliyoitoa utagundua jinsi alivyoikejeli serikali na kiongozi husika.<br />By americana<br />
Mi naona haina shida manake kwani tembo si wapo wengi tuu. Nadhani kama wangekutwa na meno ya binadamu hapo ni sawa wakinyongwa. Acheni wivu mapori yapo mengi na tembo kibao katafuteni wakwenu mchukue meno
<br />
hivi upo nchi gani jamaa?ujui kuwa tembo wanapungua kwa kasi ya ajabu uko mbugani?nina mashaka na uraia wako kama sio uraia wako basi uelewa wako kama sio uelewa basi elimu yako
na siku hizi wamejaa sana huku mjini hasahasa mitaa ya huku mikocheni na kaiz zao huwaga hazijulikani kivileee...migeti mikubwa na uzio ndani yanaendelea mambo mengine mengi hasa maovu
achene wivu, yes tembo wapo wengi....tu wacheni wavune kwani wale waliokamatwa na Magufuli baharini wakivua waliteswa na kunyongwa? na wale walioleta samaki waliooza walinyongwa?
sheria bongo labda uchukue dem wa kigogosheria ichukue mkondo wake bila kuangalia hadhi ya mtu:target:
tanzania c yako ni yaheshimia mkataba inasainiwa hotelini madini miaka 100,au mmesahau che2 umachinga plus mgambo.maskini tanzania yangu
Nikweli ilahaisaidii nisawa na kumpiga teke chura2Ukiisoma kwa makini comment aliyoitoa utagundua jinsi alivyoikejeli serikali na kiongozi husika.
Tanzania c yako nivigogo 2lia walenchi yaomaskini tanzania yangu
Acha jazba ulikubali kuolewa usilale nanguo umesaha madini buzwagi mkataba miaka 100. Nbc bank c iliizwa chini ya mtutu ukila weke akiba yakupambambana.Hii nchi hakyanani nimeamini kweli ilishauzwa.....tembo 353 na bado tunasema tunaserikali? Huu si us.eng.e?
Tanzania c yako nivigogo 2lia walenchi yaomaskini tanzania yangu