Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,553
Mi binafsi moyo wangu unaniuma sana ninaposhuhudia haya mauza uza ya Serikali! Ni ngumu ukiwaza kwamba the whole system is bushit, nani ataikomboa Tz yetu? Lakini ndani ya nafsi yangu kuna kitu kinaniambia IT CAN BE DONE GOT START SOMEWHERE AND WE ARE THAT ONE.