Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Viongozi watatu wa kitaifa wa CHADEMA wapo kwenye hatua ya mwisho ya mazungumzo kuhamia CCM. Habari za uhakika zilizopatikana kutoka kwa mmoja wa washiriki wa mazungumzo hayo zinaeleza kwamba uamuzi huo unakuja baada ya vigogo hao wa CDM kugundua kuwa wana uwezo mkubwa wa kulisaidia taifa/kutoa mchango wa kulijenga Taifa lakini wapo katika Chama cha wahuni na ubaguzi wa hali ya juu. kwamba kwa nje Chama ni kizuri, ukiingia ndani ni upuuzi mtupu.