PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wakuu,
Je hapa tunaweza kujifunza kitu?
Nilikuwa namsikiliza Mzee Butiku kwenye kipindi cha This Week In Perspective juzi, alisema kuwa mtu yeyote mstaafu aliyekuwa Kiongozi Mwandamizi Serikalini asiingizwe kwenye NEC na Halmashauri Kuu Ya CCM, hapo akimaanisha akina Mwinyi, Mkapa, Lowassa, Warioba, Msuya, Malecela na wengineo.
Alisema watu wa aina hii wametoa michango yao tayari kwa serikali na wamechoka, hivyo wawachie wengine wenye mawazo mapya ili waingie na mawazo mapya ya kukikwamua chama, wao wabaki kama 'wazee' tu, na wataheshimiwa na kuombwa ushauri.
Kwa Mtazamo tu, je hawa wazee watakubaliana na wazo la Butiku?
Na je wazo la namna hii ni 'viable' kwa uhai wa chama chochote, mbali ya ccm?
My Take:
Mzee huyu yuko sahihi. Ku'maintain wazee waliotumikia kwa miongo kwenye nafasi za maamuzi ya juu ya vyama kunaziba uwezekano wa mabadiliko na maamuzi magumu.
Je hapa tunaweza kujifunza kitu?
Nilikuwa namsikiliza Mzee Butiku kwenye kipindi cha This Week In Perspective juzi, alisema kuwa mtu yeyote mstaafu aliyekuwa Kiongozi Mwandamizi Serikalini asiingizwe kwenye NEC na Halmashauri Kuu Ya CCM, hapo akimaanisha akina Mwinyi, Mkapa, Lowassa, Warioba, Msuya, Malecela na wengineo.
Alisema watu wa aina hii wametoa michango yao tayari kwa serikali na wamechoka, hivyo wawachie wengine wenye mawazo mapya ili waingie na mawazo mapya ya kukikwamua chama, wao wabaki kama 'wazee' tu, na wataheshimiwa na kuombwa ushauri.
Kwa Mtazamo tu, je hawa wazee watakubaliana na wazo la Butiku?
Na je wazo la namna hii ni 'viable' kwa uhai wa chama chochote, mbali ya ccm?
My Take:
Mzee huyu yuko sahihi. Ku'maintain wazee waliotumikia kwa miongo kwenye nafasi za maamuzi ya juu ya vyama kunaziba uwezekano wa mabadiliko na maamuzi magumu.