jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Naskia Dr. Slaa AKA muzeiya mihogo, anadai kuwa uncle jiwe hana mpinzani 2020 na hata ccm haina mpinzani. Kwahiyo kumbe Dr. Mihogo yuko full ccm sasa hivi. Nilidhani alishalipa fadhila kwa usaliti kuachana na siasa za upinzani, ili apewe ubalozi. This is sad manake imeonyesha #Mayala, ama njaa kwa kisukuma ndiyo sababu kuu ya usaliti.
On the other side, kiukweli Slaa na madhaifu yake mengi, hakuwa kiongozi muoga ama mvivu kama viongozi wengine waliobakia. Huyo Mashinji(huyu hata sauti yake sijui inafananaje), ndo kama hakuna katibu kabisa. Ila nadhani aliwekwa tu li ku counter nguvu za ccm kanda ya ziwa(my guess tho), lakini toka chadema waje na ile operation UKUTA, uncle jiwe aliwaambia wasithubutu kumjaribu, wakabakia kama mbwa koko anayeingiza mkia makalioni kwa woga.
Kiukweli naona wako very out of touch, yani wanashindwa kuwaelewa wananchi, and in return, wananchi nao wameshindwa kuwaelewa, na hivyo kupelekea huu mgogoro, sintofahamu(uncertainity), ama mtafuruku unaoendelea.
Viongozi hawa ni waoga na ndiyo maana wananchi wengi wanamkumbuka Slaa hadi sasa hivi, wananchi wanataka wasikie sauti ya kiongozi, si tu ya kuwapa matumaini, bali ya kuwaongoza na kuwaambia hatua za kuchukua. Dr. Slaa huwa alikuwa anaenda mstari wa mbele, hata kwenye maandamano mengi tu walikosakosa, mfano kule Nyamongo alikouwawa yule mwandishi kwa bomu mchana kweupe na camera zikiwa on! Ile siku kuna fununu kuwa ni Dr Slaa walitaka kumuuwa.
Sasa hivi kuna wale wanaosema na kujiuliza kama Lowassa ni asset au liability, mimi kwa maoni yangu, huu uoga umechagizwa sana na Lowassa na ndiyo maana hata mkuu wa nchi alimuita ikulu na kumsifia kuwa hajawahi kumtukana, na yeye Lowassa alirudisha sifa kemkem kwa jiwe.
Jiwe kesharudia zaidi ya mara moja kuhusu kile alichokiita "ustaarabu wa Lowassa", kwa mantiki hii, kama kuna ukweli kuwa makali ya chadema yamepunguzwa na siasa za Lowasa, basi ni wazi he is a liability. Mahesabu yamekataa, lakini hakuna maamuzi yanayochukuliwa kukabiliana na hali hiyo.
Mahesabu ya kuimegua ama kuidhoofisha ccm kwa kumchukuwa Lowassa hayakufaya kazi. Lakini chadema nayo haitaki kufanya adjustments. Maana siasa zimebadilika, lakini uoga wenu wa kutokubadilika ili kuweza kuendana na hali halisi, ndiyo umekiponza chama chenu. Mmeshaona kama vile ni business as usual, na miaka inapita tu bila ya malengo kujulikana. Ama mlitaka kusubiri hadi uncle jiwe atoke madarakani? Hiyo si ndiyo inaonyesha upinzani feki?
Maana jiwe ameamuwa kuwaangamiza na hivyo hakuna cha kusubiri. Hivyo ni bora mnekubali kufa mkipambana kuliko mkiwa mmepiga magoti.
Sisi ni binadamu ambao tunaoongozwa na saikolojia, hakuna binadamu anayependa kuwepo kwenye timu inayoshindwa tuu na yenye matatizo chungu nzima kila kukicha ambayo hayashughulikiwi.
Mnapofanyiwa unyama na kutishwa na kutotendewa haki kwa mujibu wa katiba, halafu wanachama wenu wakisikiliza kauli zenu kutaka muongozo, mko kimya, sauti inayosikika ni ya jiwe na yule Polepole, hamdai haki zenu, halafu mnategemea kitu gani?
Hakuna kitu ambacho kimekuwa fair, labda hiyo ruzuku ambayo naona ilishakuwa kama miwani ya mbao kabisa. Ndicho ambacho ccm waliamuwa kuendelea kuwapa(pengine kwa nia ya kuwapumbaza, kuwagawa, na kuwaletea migogoro). Sasahivi kaja rais ambaye ana nia ya kukifuta ama kukiuwa chama chenu na kuuwa upinzani kwa ujumla, mtakapokosa wabunge na madiwani, labda mtapata akili muanze upya, muanze kwa kuwaongoza wananchi kiukweli na siyo blah blah tu.
Maandamano yenyewe hamthubutu halafu mnawadangaya wananchi kuwa mnapigania uhuru wao.
Pengine hamuuthamini huo uhuru kama ilivyo kwa wananchi. Uoga hauwafikishi mahali, mnaharibu vijana,(wengi walikuwa wakisubiri tu kauli), ni heri muachane na hii maneno mumuunge mkono jiwe tujue moja.
LIBERTY IS ALWAYS WORTHY FIGHTING FOR!
On the other side, kiukweli Slaa na madhaifu yake mengi, hakuwa kiongozi muoga ama mvivu kama viongozi wengine waliobakia. Huyo Mashinji(huyu hata sauti yake sijui inafananaje), ndo kama hakuna katibu kabisa. Ila nadhani aliwekwa tu li ku counter nguvu za ccm kanda ya ziwa(my guess tho), lakini toka chadema waje na ile operation UKUTA, uncle jiwe aliwaambia wasithubutu kumjaribu, wakabakia kama mbwa koko anayeingiza mkia makalioni kwa woga.
Kiukweli naona wako very out of touch, yani wanashindwa kuwaelewa wananchi, and in return, wananchi nao wameshindwa kuwaelewa, na hivyo kupelekea huu mgogoro, sintofahamu(uncertainity), ama mtafuruku unaoendelea.
Viongozi hawa ni waoga na ndiyo maana wananchi wengi wanamkumbuka Slaa hadi sasa hivi, wananchi wanataka wasikie sauti ya kiongozi, si tu ya kuwapa matumaini, bali ya kuwaongoza na kuwaambia hatua za kuchukua. Dr. Slaa huwa alikuwa anaenda mstari wa mbele, hata kwenye maandamano mengi tu walikosakosa, mfano kule Nyamongo alikouwawa yule mwandishi kwa bomu mchana kweupe na camera zikiwa on! Ile siku kuna fununu kuwa ni Dr Slaa walitaka kumuuwa.
Sasa hivi kuna wale wanaosema na kujiuliza kama Lowassa ni asset au liability, mimi kwa maoni yangu, huu uoga umechagizwa sana na Lowassa na ndiyo maana hata mkuu wa nchi alimuita ikulu na kumsifia kuwa hajawahi kumtukana, na yeye Lowassa alirudisha sifa kemkem kwa jiwe.
Jiwe kesharudia zaidi ya mara moja kuhusu kile alichokiita "ustaarabu wa Lowassa", kwa mantiki hii, kama kuna ukweli kuwa makali ya chadema yamepunguzwa na siasa za Lowasa, basi ni wazi he is a liability. Mahesabu yamekataa, lakini hakuna maamuzi yanayochukuliwa kukabiliana na hali hiyo.
Mahesabu ya kuimegua ama kuidhoofisha ccm kwa kumchukuwa Lowassa hayakufaya kazi. Lakini chadema nayo haitaki kufanya adjustments. Maana siasa zimebadilika, lakini uoga wenu wa kutokubadilika ili kuweza kuendana na hali halisi, ndiyo umekiponza chama chenu. Mmeshaona kama vile ni business as usual, na miaka inapita tu bila ya malengo kujulikana. Ama mlitaka kusubiri hadi uncle jiwe atoke madarakani? Hiyo si ndiyo inaonyesha upinzani feki?
Maana jiwe ameamuwa kuwaangamiza na hivyo hakuna cha kusubiri. Hivyo ni bora mnekubali kufa mkipambana kuliko mkiwa mmepiga magoti.
Sisi ni binadamu ambao tunaoongozwa na saikolojia, hakuna binadamu anayependa kuwepo kwenye timu inayoshindwa tuu na yenye matatizo chungu nzima kila kukicha ambayo hayashughulikiwi.
Mnapofanyiwa unyama na kutishwa na kutotendewa haki kwa mujibu wa katiba, halafu wanachama wenu wakisikiliza kauli zenu kutaka muongozo, mko kimya, sauti inayosikika ni ya jiwe na yule Polepole, hamdai haki zenu, halafu mnategemea kitu gani?
Hakuna kitu ambacho kimekuwa fair, labda hiyo ruzuku ambayo naona ilishakuwa kama miwani ya mbao kabisa. Ndicho ambacho ccm waliamuwa kuendelea kuwapa(pengine kwa nia ya kuwapumbaza, kuwagawa, na kuwaletea migogoro). Sasahivi kaja rais ambaye ana nia ya kukifuta ama kukiuwa chama chenu na kuuwa upinzani kwa ujumla, mtakapokosa wabunge na madiwani, labda mtapata akili muanze upya, muanze kwa kuwaongoza wananchi kiukweli na siyo blah blah tu.
Maandamano yenyewe hamthubutu halafu mnawadangaya wananchi kuwa mnapigania uhuru wao.
Pengine hamuuthamini huo uhuru kama ilivyo kwa wananchi. Uoga hauwafikishi mahali, mnaharibu vijana,(wengi walikuwa wakisubiri tu kauli), ni heri muachane na hii maneno mumuunge mkono jiwe tujue moja.
LIBERTY IS ALWAYS WORTHY FIGHTING FOR!