Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Wakuu wa baadhi ya makampuni makubwa ya mitandao ya kijamii duniani wamehojiwa na wanasiasa katika Seneti ya Marekani na kukaangwa vilivyo kuhusu ulinzi wa watoto mtandaoni.
Wameulaumu uongozi wa Meta, TikTok, X, Snap, na Discord kwa kutochukua hatua za kutosha kulinda watoto dhidi ya madhara yanayotokea mtandaoni ikiwemo vitendo vya unyanyasaji wa kingono pamoja na matukio yaloyopelekea watoto kujitoa uhai.
Wameulaumu uongozi wa Meta, TikTok, X, Snap, na Discord kwa kutochukua hatua za kutosha kulinda watoto dhidi ya madhara yanayotokea mtandaoni ikiwemo vitendo vya unyanyasaji wa kingono pamoja na matukio yaloyopelekea watoto kujitoa uhai.