Tangu lini Mitume na Manabii wameanza kutoa huduma za ubatizo, ndoa au mazishi?Waluteli wakikutaa Mwamposa anatuma wachungaji na waumini wanakuja kuzika!
Kesho lazima utaenda kutoa shukrani kwake.
Mambo mengine ni lazima hela itahusika tu, labda useme Kanisa litafute miradi. Mfano, cheti cha ubatizo, ni wapi uraiani utapata bure huduma ya printing?Nimeyaona haya na Roman Catholic.
Mungu hayupo tena makanisani
Hiyo printing ya cheti cha ubatizo ndio inagharimu sh 30,000-50,000?Mambo mengine ni lazima hela itahusika tu, labda useme Kanisa litafute miradi. Mfano, cheti cha ubatizo, ni wapi uraiani utapata bure huduma ya printing?
Ambao hawna hiyo 50000?acheni wizi kwa kisingizio cha dini.mkiona uchungaji haulipi tafuteni KAZI nyingine za kufanya sio kugeuza waumini mitaji.yesu alimsaidia Nani kwa masharti ya pesa?Toa sadaka kama unampa Mungu na sio Mchungaji...
Wewe ukitoa sadaka nenea sadaka hiyo, amesema wananunua furniture..
Jenga madhabahu wanenee watoto hao juu ya madhabahu...
Wakabidhi watoto kwenye madhabahu iwalinde na kuwakuza vyema...
Ifike mahali tutambue shughuli zote za kanisa zinatumia pesa...
Wewe mbona umeandika mnashoma ndiyo kitu gan hicho?Hakuna "Zambini" muwe mnashoma hata MEMKWA ni aibu mtu mzima kutojua kuandika lugha yake ya taifa kwa ufasaha.
Umeshaelewa lakini au bado?Wewe mbona umeandika mnashoma ndiyo kitu gan hicho?
Hayo mapato ya hizo njia nyingine, hayana matumizi mengine?Kanisa lina njia nyingi za kukusanya michango sio hadi wasubiri event za ubatizo na Kipaimara ndio watoze pesa.
Kufanya hivyo lazima ilete tafsiri tofauti.