Busara gani...???Aliissisitiza sana Mtume Mohammed S.W ...
Tupo kwenye kipindi cha mpito
Masheik na Maimam acha wafu wazikane wenyewe...
Nilikuwa najiuliza y mko kimya kumbe busara inawaongoza. ...
Rushwa ya kujengewa ofisi ina watafunaAliissisitiza sana Mtume Mohammed S.W ...
Tupo kwenye kipindi cha mpito
Masheik na Maimam acha wafu wazikane wenyewe...
Nilikuwa najiuliza y mko kimya kumbe busara inawaongoza. ...
Hii habari ya makao makuu imewauma sana Ila haina jinsi endeleeni kuumia hivyohivyo hadi roho zenu zitakapotoka.Busara gani...???
Ongeeni muone kama Makao Makuu ya Bakwata yatajengwa..
Cha ajabu wiki hizi mnawasujudia hao wenye uwezo mdogo wawasaidie duh! Mungu anajua sana namna ya kuwaadhibu watu hapa dunianiPamoja na subra waliyonayo viongozi wetu wa kiislamu ila uwezo wao "upstairs" ni mdogo sana. Hawana la kusema maana uwezo wa kupambanua mambo, uthubutu wa kusema na kuonya ni finyu. Sana sana watasema tu kwa maagizo ya wanasiasa (kutumiwa)
...mgalatia uwezo wa kutambua Waislaam umeipata wapi !?Bara hakuna Waislam kuna Bakwata
Waislam wapo Zanzibar
....waliongea wale kuhusu muungano, wanamaliza miaka magerezani.Busara gani...???
Ongeeni muone kama Makao Makuu ya Bakwata yatajengwa..
Wakiristo wamekabidhiwa hazina kabisaa kupitia MoU, wao wanaingiziwa tu na hazina. Hapo bado biashara ya misamaha ya kodi.Rushwa ya kujengewa ofisi ina watafuna
Mkuu waislamu wapo sana. Nchi hii ina watu wabinafsi wenye kuangalia upande wao. Na pia ina wanafiki wengi, na wasiokuwa na mtanzamo wa mbele. Kipindi waislamu wanatetea maslahi ya kila ya raia wote hasa kuhusu mambo keki ya Taifa na mambo mbalimbali ya haki na utawala wa sheria, walidai kwamba ooh waislamu ni watu wa kulalamika na wanataka kuleta uvunjifu wa amani.Bara hakuna Waislam kuna Bakwata
Waislam wapo Zanzibar
Unaandika pumba utadhani wewe si binadamu.....waliongea wale kuhusu muungano, wanamaliza miaka magerezani.
Wameongea maaskofu, wanabembelezwa wahimize viwanda.
Wagalatia msituletee unafiki wenu, endeleeni ku enjoy pesa za MoU. Walutheri wamekutwa na madaktari hewa, wanakula tuu mishahara yao.