Viongozi wa CHADEMA wafanya kikao cha siri nyumbani kwa Mbowe

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je, kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lissu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mhe. Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lisu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Ukiona jambo hujashirikishwa ujue haikuhusu. Sasa nini kimekuwasha wewe hadi ulete haya huku? Ungekuwa mhusika ungeshirikishwa😡😡
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lisu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Uongo utakusaidia nini wewe kapuku ?
 
Hawana jipya hao, porojo porojo porojo.... Business as usual
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je, kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lissu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Hiyo ni saccos mkuu,sio chama cha siasa
 
Kwakweli chadema Tishio

Katibu mkuu ,aanze kwenda Arusha wakati anamajukumu ya kichama ,unajuaje kama msigwa alikuwa mwakilishi wa katibu
 
Namna Muenezi wa CCM Makonda anavyogeuza upepo imewastua sana. Mbowe na Chadema wana hofu na muafaka wa maridhiano.
Ni kweli itakuwa ni kikao cha watu wawili tu, Mbowe na Lissu, wakijadili kichapo wanachokipata kutoka kwa Makonda. Na bado, watasema.

Ajenda yao okoa bandari zetu ilishaota mbawa kwani hiyo IGA haipo tena, iko kwa dustbin. Pia ajenda yao ya katiba mpya haina mashiko tena kwani inashughulikiwa kitalaam ku ugrade to 5G katiba tuliyonayo kama ambavyo katiba ya USA ya mwaka 1786 ilivyokuwa inakuwa upgraded hadi leo kuendana na wakati kwani katiba ni a dynamic living document. Hawa jamaa walitaka eti tu unstall iliyopo na kuanza from the scratch. Akili ya wapi?
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je, kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lissu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Hakuna kikao chochote baada ya Lisu kutoka kituo cha polisi alienda kusalimiana na Mwenyekiti mboe acha uzushi.
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je, kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lissu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Hivi iwe siri halafu wajitokeze hadharani kupiga picha ya pamoja ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je, kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lissu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Kwani Tanzania Kuna upinzani au matapeli tu
 
Kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa Mbowe huko Kilimanjaro. Baada ya kikao viongozi hao wamepost picha na kuweka maneno yanayoashiria kuna jambo zito lililofanyika leo.

Je, kikao hiki kinahusu nini? Kwanini kifanyike bila katibu Mkuu wala viongozi wengine waandamizi? Je, Tundu Lissu kupitia kikao hiki ameridhia kushiriki uchaguzi mkuu 2024/2025?

Kikao kitatoa kwa umma maazimio au itabaki kuwa siri?
Yuko wapi Erythrocyte ?

Yeye atakuwa na mengi ya kutuelezea!
 
Back
Top Bottom