Mr.kibulala
Member
- Nov 8, 2011
- 58
- 20
Misenyi ni moja ya wilaya ndani ya mkoa wa Kagera, ila cha kusikitika kata zote ziko chini ya magamba (CCM) hii inauma sana, lakini tunahitaji uhamasishaji mkubwa hasa kutoka kwa viongozi CDM taifa hata ngazi ya mkoa kufanya mikutano ya hadhara mara kwa kila miezi3, inatosha hili jimbo liko huru 2015 kwa mbunge wa sasa full kilaza.
Pili ndani ya CCM wilaya makundi yanaendelea kati ex-mp na wa sasa, then wananchi wanahtaji changes. J'pili tulichukua kitongji na J'pili hii tunachkua kijiji then by election ingawa walisimamisha baada ya kuona magamba wanapoteza.
HEY DKT SLAA TUNAKUHITAJI MISENYI HARAKA MZEE WANGU
Pili ndani ya CCM wilaya makundi yanaendelea kati ex-mp na wa sasa, then wananchi wanahtaji changes. J'pili tulichukua kitongji na J'pili hii tunachkua kijiji then by election ingawa walisimamisha baada ya kuona magamba wanapoteza.
HEY DKT SLAA TUNAKUHITAJI MISENYI HARAKA MZEE WANGU