Kiongozi!
Mbona una shingo ngumu kiasi hicho?
Ludovick alishatumika kisiasa na MAGAMBA kwa muda mrefu. Sio kwamba ataanza baada ya kuwekewa dhamana na CCM! Pamoja na kutumika huko ni wapi umeona CHADEMA imepwaya? Zaidi ilipata mbinu mbadala za kuhakikisha kwamba waTanganyika wanaona michezo michafu inayo fanywa na CCM.
Si umesikia kwamba huko MAGAMBANI hakukaliki kwa sababu ya hii issue ya Lwakatare?!! Kwamba CCM inazidi kujijengea uhalali wa kuchukiwa na waTanganyika kwa siasa za Kizandiki kiasi kwamba ngoma inamuelemea director wa hii movie!!
Kwa taarifa yako ni kwamba hata MAGAMBA wanajuwa wazi kwamba kwa hili wamebugi na ndio maana unamuona Mwigulu anaomba huruma ya waTanzania kupitia mitandao baada ya kusoma upepo unavyo wavumia vibaya.
Kama una huruma kwa Kudovick nenda kamtoe, vinginevyo wewe ni ndugu yake na umeshajua kwamba MAGAMBA wamesha mtosa na hivyo ataozea lupango.
Mbona una shingo ngumu kiasi hicho?
Ludovick alishatumika kisiasa na MAGAMBA kwa muda mrefu. Sio kwamba ataanza baada ya kuwekewa dhamana na CCM! Pamoja na kutumika huko ni wapi umeona CHADEMA imepwaya? Zaidi ilipata mbinu mbadala za kuhakikisha kwamba waTanganyika wanaona michezo michafu inayo fanywa na CCM.
Si umesikia kwamba huko MAGAMBANI hakukaliki kwa sababu ya hii issue ya Lwakatare?!! Kwamba CCM inazidi kujijengea uhalali wa kuchukiwa na waTanganyika kwa siasa za Kizandiki kiasi kwamba ngoma inamuelemea director wa hii movie!!
Kwa taarifa yako ni kwamba hata MAGAMBA wanajuwa wazi kwamba kwa hili wamebugi na ndio maana unamuona Mwigulu anaomba huruma ya waTanzania kupitia mitandao baada ya kusoma upepo unavyo wavumia vibaya.
Kama una huruma kwa Kudovick nenda kamtoe, vinginevyo wewe ni ndugu yake na umeshajua kwamba MAGAMBA wamesha mtosa na hivyo ataozea lupango.